LULU: NILIMTOLEA UVIVU SHABIKI IWE FUNDISHO
![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljwapr8QEMbM19*5tBYXl8ffOaUDEbd7bSPUFe1gbC43iuZlnsSlcKRYZopn1KIjJDtJYQj31CwIPvZ9JnaDhtBr/lulucopy.jpg?width=650)
ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa juzikati aliamua kumjibu shabiki mmoja mtandaoni kutokana na kuwepo kwa watu wengi wanaomsema vibaya mitandaoni. Akizungumza na mwanahabari wetu mara baada ya kumjibu shabiki Gladmarry Edwine aliyemkejeli kupitia mtandao wa Instagram kuwa ikifika siku ya Kanumba Day (Aprili 7, mwaka huu), Lulu atajiliza ndipo staa huyo alipomtolea uvivu iwe fundisho. “Yule alinikuta...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies06 Apr
Lulu Atoa fundisho Kwa Shabiki…
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa juzikati aliamua kumjibu shabiki mmoja mtandaoni kutokana na kuwepo kwa watu wengi wanaomsema vibaya mitandaoni.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL mara baada ya kumjibu shabiki Gladmarry Edwine aliyemkejeli kupitia mtandao wa Instagram kuwa ikifika siku ya Kanumba Day (Aprili 7, mwaka huu), Lulu atajiliza ndipo staa huyo alipomtolea uvivu iwe fundisho.
“Yule alinikuta siku hiyo siko vizuri halafu niko Instagram...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-Dcb9tWU*4AOWpjws4dFshXDt9YyW9NexzPJOOboc5cw6t5BISPIp76mDXlGtSLua5u6zUipWM9DTxf9aD30Ae6N/MizengoPinda.jpg?width=650)
UTITIRI HUU WA WAGOMBEA IWE FUNDISHO
9 years ago
Mtanzania31 Dec
‘Home Coming’ iwe fundisho kwa wasanii Bongo
NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM
KATIKA tasnia ya filamu hapa nchini tunaanza kupiga hatua kwa kiasi kikubwa sana kutokana na wasanii wengi kujituma kwa lengo la kutangaza kazi zao ndani na nje ya nchi, huku ikiwa njia mojawapo ya kujipatia kipato.
Siku zote tumekuwa tukiona filamu zetu za hapa ndani zikitazamwa kwa muda mfupi na zinaanza kusahaulika kutokana na uwezo mdogo wa wasanii kufanya filamu hiyo na kutokuwa na ubunifu wa kutosha.
Kwa sasa kumekua na tabia ya kuangalia filamu za nje...
9 years ago
Bongo Movies02 Jan
Maneno ya Lulu kwa Mama Yake ni Fundisho Tosha
Mwigizaji Lulu ameandika haya jana kwenye ukurasa wake mtandaoni, ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi.
The pic Says all…!
Umenifundisha kujua thamani ya Mama Duniani,Umenifundisha urafiki wa kweli uko vipi,undugu WA kweli uko vipi.
Pale ambapo wote walikimbia,walikuwa kinyume Na Mimi Wewe Ndo ulisimama .
Naweza kuandika maneno Milioni lkn kiukweli hakuna namna ninayoweza kukuelezea na watu wakapata picha halisi ya ulivyo
Una mapungufu yako..Ndio sikatai .
Una mabaya yako…Ndio maana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9Vm472K1b4Nf72YANtrKryqXYSYB7gpwoRI767YJbfb*0lN8zXOXYwJFnxKRK97zJ2VAYATGvigdPUehuOJDQw/FUNDISHO.jpg)
FUNDISHO LA MCHEPUKO, DAMU CHAPACHAPA
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mandela katuachia fundisho, tutalitekeleza?
SIDHANI kama kuna mtu aliyepata kufa kwa furaha kama alivyokufa mzee wetu, Nelson Rolihlahla Dalibunga Mandela ‘Madiba.’ Hayo nayasemea kwa watu walioonja utamu wa kuongoza au kuwatawala wenzao, kwa sababu...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
11 years ago
Mwananchi21 May
Ajali ya MV Bukoba imetuachia fundisho gani?
10 years ago
MichuziNGEJELA: NIMEPATA FUNDISHO KUWANIA URAIS
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
MBUNGE...