Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mandela katuachia fundisho, tutalitekeleza?

SIDHANI kama kuna mtu aliyepata kufa kwa furaha kama alivyokufa mzee wetu, Nelson Rolihlahla Dalibunga Mandela ‘Madiba.’ Hayo nayasemea kwa watu walioonja utamu wa kuongoza au kuwatawala wenzao, kwa sababu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

GPL

FUNDISHO LA MCHEPUKO, DAMU CHAPACHAPA

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally AMA kweli duniani kuna vituko! Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally ‘Mgosi wa Ndima’ kudai amemfumania Baba Eliza akiwa na mkewe ambaye jina halikupatikana. Mgoni, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42)...

 

10 years ago

Michuzi

NGEJELA: NIMEPATA FUNDISHO KUWANIA URAIS

 MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja akibadilisha mawazo na wabunge wenzake, Ezekiel Maige (Msalala) na Dk. Dalaly Peter Kafumu (Igunga), wakati aliporejesha fomu kwenye ofisi za Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma.MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja, akirejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia CCM kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajab Luhwavi, kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho mjini Dodoma, jana.
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
MBUNGE...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalenga ni fundisho jingine kwa CHADEMA

NI mara ya tatu sasa nakiasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuangalia pale kilipojikwaa badala ya kuangalia kilipoangukia. Kitakapoangalia pale kilipojikwaa kitaepuka kuanguka tena pindi kitakapopita njia ile. Aprili...

 

10 years ago

GPL

UTITIRI HUU WA WAGOMBEA IWE FUNDISHO

Waziri mkuu Mizengo Pinda. Na Ojuku Abraham/Ijumaa
MWAKA 1985 wakati Mwalimu Julius Nyerere alipong’atuka serikalini na kubakia kuwa kwenye chama, nilikuwa bado mdogo nisiyejua hata kusoma magazeti. Lakini miaka kadhaa mbele, nikagundua kuwa uamuzi wa Baba wa Taifa, ulikuwa wa ghafla na ambao haukutegemewa. Nimesikia simulizi nyingi zinazomhusu Mwalimu, lakini karibu zote, zikimuonyesha kama mtu wa aina ya peke yake,...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali ya MV Bukoba imetuachia fundisho gani?

Ni miaka 18 leo tangu tukio baya la kupinduka na hatimaye kuzama kwa meli ya MV Bukoba iliyokuwa ikitokea Bukoba mkoani Kagera kwenda Mwanza lilipoikumba sekta ya usafiri wa majini nchini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Atoa fundisho Kwa Shabiki…

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa juzikati aliamua kumjibu shabiki mmoja mtandaoni kutokana na kuwepo kwa watu wengi wanaomsema vibaya mitandaoni.

Akizungumza na mwanahabari wa GPL mara baada ya kumjibu shabiki Gladmarry Edwine aliyemkejeli kupitia mtandao wa Instagram kuwa ikifika siku ya Kanumba Day (Aprili 7, mwaka huu), Lulu atajiliza ndipo staa huyo alipomtolea uvivu iwe fundisho.

“Yule alinikuta siku hiyo siko vizuri halafu niko Instagram...

 

10 years ago

Mwananchi

Mshikamano wa madereva umetuachia sisi fundisho gani

Saa nane pekee za siku ya Ijumaa, Aprili 10 mwaka huu zitabaki kwa muda mrefu kwenye kumbukumbu za Watanzania, mijini na vijijini.

 

11 years ago

Mwananchi

Uamuzi huu wa kubomoa ghorofa uwe fundisho

Waswahili husema mzaha mzaha, kidonda hutumbuka usaha. Kauli hii inaweza kufananishwa na kesi na hatimaye hukumu ambayo imetolewa juzi na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam dhidi ya maofisa wawili waandamizi wa wakala wa serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani