Ajali ya MV Bukoba imetuachia fundisho gani?
Ni miaka 18 leo tangu tukio baya la kupinduka na hatimaye kuzama kwa meli ya MV Bukoba iliyokuwa ikitokea Bukoba mkoani Kagera kwenda Mwanza lilipoikumba sekta ya usafiri wa majini nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Mshikamano wa madereva umetuachia sisi fundisho gani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5dnKmgW0EIPM0gH7jDErkUiLba*EYdloo1ieFyGc3Hhy7PnwejwqUjKNUF4DYpxGCPAnJzKj7MipWZ0dldas7j6OGNJfQMQZ/MVBukobaikizama.jpg?width=450)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 18 YA AJALI YA MV BUKOBA
10 years ago
GPLKUMBUKUMBU YA MIAKA 19 YA AJALI YA MV BUKOBA
10 years ago
Dewji Blog21 May
Leo ni Miaka 19 ya Kumbukumbu ya ajali ya MV Bukoba
Pichani ni mnara wa kumbukumbu ya eneo ambalo walizikwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba hiyo mnamo Mei 21.1996.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Kila mwaka ifikapo Mei 21, kama siku ya leo watanzania tunakumbuka tukio la ajali mbaya iliyowahi kutokea katika nchi yetu ya kuzama kwa meli ya MV Bukoba ndani ya ziwa Victoria, mnamo mwaka 1996. Kwa hali hiyo watanzaia tunaendelea kuwaombea ndugu na jamaa waliotangulia mbele za haki.
Mtandao wako bora wa habari wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RvjAXBPMtYI/U3zipQzDFWI/AAAAAAAFkRA/0VP8NqmQleU/s72-c/20140521-200130.jpg)
kumbumbu ya ajali ya meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopitta.
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Ajali ya Kivuko Korea Kusini: Inatukumbusha Mv Bukoba, MV Skagit
10 years ago
Vijimambo21 May
Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/MV%20Bukoba-21May2015.jpg)
Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
10 years ago
Michuzi22 May
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YAADHIMISHA TENA IBADA YA KUWAKUMBUKA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA MV BUKOBA
MWAKA WA NNE SASA FMF IKIWA INAFANIKISHA IBADA IYO AMBAPO ILISOMWA KATIKA KANISA LA NYAKAHOJA JIJINI MWANZA NA KISHA KUMALIZIA IBADA IYO KATIKA MAKABURI HAYO YALIYOPO IGOMA JIJINI MWANZA.
FLAVIANA MATATA FOUNDATION INAPENDA KUWASHURU TEAM YA ZALENDO TANZANIA , MARINE SERVICE KWA...