KUMBUKUMBU YA MIAKA 19 YA AJALI YA MV BUKOBA
Mnara uliopo eneo la Igoma, Mwanza kwenye makaburi ya baadhi ya watu waliokufa katika ajali hiyo. Makaburi ya baadhi ya marehemu wa ajali hiyo yaliyopo Igoma, Mwanza.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5dnKmgW0EIPM0gH7jDErkUiLba*EYdloo1ieFyGc3Hhy7PnwejwqUjKNUF4DYpxGCPAnJzKj7MipWZ0dldas7j6OGNJfQMQZ/MVBukobaikizama.jpg?width=450)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 18 YA AJALI YA MV BUKOBA
10 years ago
Dewji Blog21 May
Leo ni Miaka 19 ya Kumbukumbu ya ajali ya MV Bukoba
Pichani ni mnara wa kumbukumbu ya eneo ambalo walizikwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba hiyo mnamo Mei 21.1996.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Kila mwaka ifikapo Mei 21, kama siku ya leo watanzania tunakumbuka tukio la ajali mbaya iliyowahi kutokea katika nchi yetu ya kuzama kwa meli ya MV Bukoba ndani ya ziwa Victoria, mnamo mwaka 1996. Kwa hali hiyo watanzaia tunaendelea kuwaombea ndugu na jamaa waliotangulia mbele za haki.
Mtandao wako bora wa habari wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RvjAXBPMtYI/U3zipQzDFWI/AAAAAAAFkRA/0VP8NqmQleU/s72-c/20140521-200130.jpg)
kumbumbu ya ajali ya meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopitta.
10 years ago
Vijimambo21 May
Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/MV%20Bukoba-21May2015.jpg)
Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
10 years ago
GPLFLAVIANA MATATA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMBUKUMBU YA WALIOFARIKI MV BUKOBA
10 years ago
Vijimambo22 May
FLAVIANA MATATA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMBUKUMBU YA WALIOFARIKI MV BUKOBA
Na Johnson James, Mwanza
ALFAJIRI ya Mei 21 mwaka 1996 – siku kama ya leo -- ni tarehe ambayo Tanzania ilipatwa na msiba mzito ambapo zaidi ya watu 600 walifariki baada ya meli ya MV Bukoba iliyokuwa ikifanya safari zake kutoka mjini Bukoba kwenda jijini Mwanza kuzama katika Ziwa Victoria ambalo liko...
11 years ago
Mwananchi21 May
Ajali ya MV Bukoba imetuachia fundisho gani?
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Ajali ya Kivuko Korea Kusini: Inatukumbusha Mv Bukoba, MV Skagit
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-oo-pbdJK_pk/VT4edoX0XuI/AAAAAAAHTgE/R-BXVLepCIA/s1600/IMG_3964.jpg)