Uamuzi huu wa kubomoa ghorofa uwe fundisho
Waswahili husema mzaha mzaha, kidonda hutumbuka usaha. Kauli hii inaweza kufananishwa na kesi na hatimaye hukumu ambayo imetolewa juzi na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam dhidi ya maofisa wawili waandamizi wa wakala wa serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema06 Nov
KWA CCM, uchaguzi huu uwe fundisho la mwisho — 1
USHINDI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 unabaki na utaendelea kub
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL
UTITIRI HUU WA WAGOMBEA IWE FUNDISHO
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Ushirikiano huu wa ‘Ukawa’ uwe endelevu
9 years ago
CCM Blog
MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU

Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.
Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
10 years ago
Habarileo20 Aug
Achomoa kubomoa jengo pacha
UBOMOAJI wa jengo pacha lenye ghorofa 16, lililopo mtaa wa Indira Ghandi Dar es Salaam, imeshindikana.
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga
INASHANGAZA kuona jengo linachukua mwaka au zaidi kujengwa lakini halimalizi wiki kuvunjwa. Ndivyo yalivyo maisha yetu ya kila siku. wengi tunahangaika kuonekana vizuri mbele ya wengi lakini mwisho tunasahau kurekebisha...
11 years ago
Habarileo23 Feb
Kazi ya kubomoa si ya kukurupuka-Prof Tibaijuka
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema tayari imeweka mabango katika maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya wazi vilivyovamiwa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza na gazeti hili alisema mabango hayo yaliyowekwa ni kuwataka wakazi waliovamia viwanja vya wazi kuondoka mara moja. Profesa Tibaijuka alisema kuwa bomoabomoa itafanyika katika maeneo hayo hivyo ni vyema wanaojijua kuwa wamevamia wakaondoka mapema.