Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga
INASHANGAZA kuona jengo linachukua mwaka au zaidi kujengwa lakini halimalizi wiki kuvunjwa. Ndivyo yalivyo maisha yetu ya kila siku. wengi tunahangaika kuonekana vizuri mbele ya wengi lakini mwisho tunasahau kurekebisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Lulu: Kuharibu ni Rahisi Kuliko Kujenga
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anasema baadhi ya watanzania wanapoteza muda wao katika mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuwaumiza wengine na kuwatusi bila sababu, huku wakiwa makini kusikiliza mabaya na kuyavumisha tofauti na taarifa njema zenye faraja kwa jamii.
“Ukiwa kama Binadamu kila jambo ukitaka kulisambaza kwanza tafakari katika nafsi yako, je huyo unayemtenda hana maumivu kama mwanadamu, tumekuwa mabingwa wa kuwaumiza wengine kupitia mitandao ya kijamii bila...
9 years ago
Bongo Movies19 Nov
Kuharibu ni Rahisi Kuliko Kujenga- Lulu
MWIGIZAJI wa kike Bongo Movies Elizabeth Michael anasema baadhi ya watanzania wanapoteza muda wao katika mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuwaumiza wengine na kuwatusi bila sababu, huku wakiwa makini kusikiliza mabaya na kuyavumisha tofauti na taarifa njema zenye faraja kwa jamii.
“Ukiwa kama Binadamu kila jambo ukitaka kulisambaza kwanza tafakari katika nafsi yako, je huyo unayemtenda hana maumivu kama mwanadamu, tumekuwa mabingwa wa kuwaumiza wengine kupitia mitandao ya kijamii bila...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gJZ7shhHIHyuEs*6g*J-u67GeJtIgMkVcSziuJg4*Ca-3dZNnL5J8bw7wmD2QKKRBS-yX2ZZ-3T2CVB0Edy-vi/140327_DX_happycouplecheats.jpg.CROP.promomediumlarge.jpg?width=650)
TABIA; SILAHA MUHIMU INAYOWEZA KUJENGA, KUBOMOA UHUSIANO
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!
WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...
9 years ago
Habarileo20 Aug
Achomoa kubomoa jengo pacha
UBOMOAJI wa jengo pacha lenye ghorofa 16, lililopo mtaa wa Indira Ghandi Dar es Salaam, imeshindikana.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Kazi ya kubomoa si ya kukurupuka-Prof Tibaijuka
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema tayari imeweka mabango katika maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya wazi vilivyovamiwa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza na gazeti hili alisema mabango hayo yaliyowekwa ni kuwataka wakazi waliovamia viwanja vya wazi kuondoka mara moja. Profesa Tibaijuka alisema kuwa bomoabomoa itafanyika katika maeneo hayo hivyo ni vyema wanaojijua kuwa wamevamia wakaondoka mapema.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Uamuzi huu wa kubomoa ghorofa uwe fundisho
9 years ago
Vijimambo24 Aug
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NA KUBOMOA NYUMBA YA MGOMBEA UBUNGE CUF MTWARA.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/NYUMBA%281%29.jpg)
Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya viongozi wa chama hicho na wanachi wa jimbo la Nanyamba wamesema mazingira aliyotoweka mgombea huyo yanaonyesha wazi kuna mchezo mchafu umefanywa ili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmrxrd8tsxI/VECOBLlIYMI/AAAAAAAGrIo/On2h9Xo0X5c/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
manispaa za jiji la dar es salaam zaagizwa kubomoa majengo katika sehemu za wazi, kusafisha fukwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmrxrd8tsxI/VECOBLlIYMI/AAAAAAAGrIo/On2h9Xo0X5c/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uyNgiPdMt9k/VECOBWmICRI/AAAAAAAGrIc/PlsykF2kJRc/s1600/unnamed%2B(23).jpg)