Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TABIA; SILAHA MUHIMU INAYOWEZA KUJENGA, KUBOMOA UHUSIANO

JUMAMOSI nyingine wapenzi wasomaji wa safu hii tunakutana katika uwanja wetu wa kuweza kupata elimu ya uhusiano. Mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu ya kila siku. Bila mapenzi, watu wasingezaana na hata furaha ya maisha isingekamilika kama hakuna mapenzi. Niwashukuru wale wote ambao mlinitumia ujumbe mfupi, mkipongeza kwa mada ya wiki iliyopita iliyokuwa ikifundisha mbinu mbalimbali za kumpata mchumba mwema....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga

INASHANGAZA kuona jengo linachukua mwaka au zaidi kujengwa lakini halimalizi wiki kuvunjwa. Ndivyo yalivyo maisha yetu ya kila siku. wengi tunahangaika kuonekana vizuri mbele ya wengi lakini mwisho tunasahau kurekebisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!

WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...

 

10 years ago

Habarileo

ZEC yaomba vyama kujenga tabia ya uaminifu

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) , imesema inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba na sheria bila ya kupata shinikizo kutoka kwa vyama vya siasa au kiongozi yeyote wa ngazi za juu serikalini na kuvitaka vyama vya siasa kujenga tabia ya uaminifu.

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : unavyoweza kujenga uhusiano bila ya kuzungumza

Je, umewahi kusikia watu wakieleza tabia za mtu kutokana na jinsi anavyoonekana na vitendo vyake bila hata kumsikia akisema? Watu huweza kusema: “Yule ana roho mbaya wala hapendi watu hata mkikutana naye hakuonyeshi tabasamu wala hakuchangamkii.”

 

10 years ago

Tanzania Daima

Benki yahimiza wanafunzi kujenga tabia ya kusoma vitabu

BENKI ya Afrika Tanzania imewataka wanafunzi nchini kujijengea tabia ya kusoma vitabu kama njia kuu itakayowawezesha kukuza upeo wao kiakili na kuweza kuchanganua mambo mbalimbali. Meneja Mwandamizi wa benki hiyo,...

 

10 years ago

Michuzi

Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango

Na Veronica Mheta, Arusha
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari

unnamed (10)

  Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.

Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma

Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza  vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.

Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

11 years ago

GPL

NJIA INAYOWEZA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA

NIMEWAHI kusoma habari za mkunga Kim Hildebrand Cardoso kutoka Berkeley, California nchini Marekani kuhusiana na uchungu waupatao wanawake wakati wa kujifungua na vifo vitokanavyo na uzazi. Ingawa sina cheti cha utabibu niliamua kujikita katika uchunguzi ili nijue kwanini akina mama wengi hasa Tanzania hupata matatizo wakati wa kujifungua? Nilichogundua ni kwamba karibu kila msichana mwenye umri wa kuweza kubeba ujauzito...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani