TABIA; SILAHA MUHIMU INAYOWEZA KUJENGA, KUBOMOA UHUSIANO
![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gJZ7shhHIHyuEs*6g*J-u67GeJtIgMkVcSziuJg4*Ca-3dZNnL5J8bw7wmD2QKKRBS-yX2ZZ-3T2CVB0Edy-vi/140327_DX_happycouplecheats.jpg.CROP.promomediumlarge.jpg?width=650)
JUMAMOSI nyingine wapenzi wasomaji wa safu hii tunakutana katika uwanja wetu wa kuweza kupata elimu ya uhusiano. Mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu ya kila siku. Bila mapenzi, watu wasingezaana na hata furaha ya maisha isingekamilika kama hakuna mapenzi. Niwashukuru wale wote ambao mlinitumia ujumbe mfupi, mkipongeza kwa mada ya wiki iliyopita iliyokuwa ikifundisha mbinu mbalimbali za kumpata mchumba mwema....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga
INASHANGAZA kuona jengo linachukua mwaka au zaidi kujengwa lakini halimalizi wiki kuvunjwa. Ndivyo yalivyo maisha yetu ya kila siku. wengi tunahangaika kuonekana vizuri mbele ya wengi lakini mwisho tunasahau kurekebisha...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!
WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...
10 years ago
Habarileo03 Mar
ZEC yaomba vyama kujenga tabia ya uaminifu
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) , imesema inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba na sheria bila ya kupata shinikizo kutoka kwa vyama vya siasa au kiongozi yeyote wa ngazi za juu serikalini na kuvitaka vyama vya siasa kujenga tabia ya uaminifu.
10 years ago
Mwananchi26 Jul
SAIKOLOJIA : unavyoweza kujenga uhusiano bila ya kuzungumza
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Benki yahimiza wanafunzi kujenga tabia ya kusoma vitabu
BENKI ya Afrika Tanzania imewataka wanafunzi nchini kujijengea tabia ya kusoma vitabu kama njia kuu itakayowawezesha kukuza upeo wao kiakili na kuweza kuchanganua mambo mbalimbali. Meneja Mwandamizi wa benki hiyo,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari
Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma
Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1Jrfjr38kY*TOYHVen3kzgjsWYjK9rCN128qoez9sW7CwT9VT-7ZtcQTzHcIYFC9nTJ432uE3qb2-rGdzumJb4/pain.jpg?width=650)
NJIA INAYOWEZA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA