ZEC yaomba vyama kujenga tabia ya uaminifu
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) , imesema inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba na sheria bila ya kupata shinikizo kutoka kwa vyama vya siasa au kiongozi yeyote wa ngazi za juu serikalini na kuvitaka vyama vya siasa kujenga tabia ya uaminifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Benki yahimiza wanafunzi kujenga tabia ya kusoma vitabu
BENKI ya Afrika Tanzania imewataka wanafunzi nchini kujijengea tabia ya kusoma vitabu kama njia kuu itakayowawezesha kukuza upeo wao kiakili na kuweza kuchanganua mambo mbalimbali. Meneja Mwandamizi wa benki hiyo,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gJZ7shhHIHyuEs*6g*J-u67GeJtIgMkVcSziuJg4*Ca-3dZNnL5J8bw7wmD2QKKRBS-yX2ZZ-3T2CVB0Edy-vi/140327_DX_happycouplecheats.jpg.CROP.promomediumlarge.jpg?width=650)
TABIA; SILAHA MUHIMU INAYOWEZA KUJENGA, KUBOMOA UHUSIANO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari
Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma
Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Uaminifu huboresha mapenzi
KARIBU mpenzi msomaji wa safu ya Urafiki na Mahusiano, ili tuweze kwenda sambamba kuhusiana na mada tunayoizungumzia leo ya kuboresha mahusiano. Katika mahusiano yeyote yale, iwe kwenye ndoa au la,...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
‘Viongozi wa dini wamepoteza uaminifu’
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Victorious la mjini Moshi, Sixbert Mkelemi, amesema hivi sasa viongozi wa dini wanafanyiwa upekuzi katika viwanja vya ndege tofauti na miaka ya nyuma kutokana na...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Uaminifu, nidhamu huleta mafanikio
KATIKA maisha hakuna njia ya mkato ya mafanikio. Uwezekano wa kufanikiwa upo, thawabu ipo lakini mpaka uwe na uhitaji huo. Ili ufanikiwe, yakupasa ufanye kazi kwa bidii, kwani ni muhimu...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Dubai inatisha kwa uaminifu
10 years ago
Vijimambo19 Nov
KWA NINI UAMINIFU UMEPUNGUA?
![](http://api.ning.com/files/7JAc5CeHqZ2xps6rULFRYgPyTHdgszWv6fHnr-Djm2ZwIUzQjOPxy7Ew7*IREfFkt1UUzBF34QkUPbhXkQ2Flx2Z-SaBVIGF/couplehavingfight.jpg?width=650)
HABARI zenu wadau wa safu hii. Tumekutana tena kujadiliana mambo yetu ya kikubwa wakati huu mwaka unapokatika. Wengine wanafunga hesabu kwa faida na wengine wanajikusanyia madeni.
Maisha ya kimapenzi kila siku yana mapya, wanandoa wanaweza kukaa mwezi mzima bila kuzungumza, lakini siku moja isiyo na jina wanajikuta wanapendana upya na kupiga stori kana kwamba hakuna kilichotokea jana yake.
Siku hizi kutoka nje ya ndoa tumekupa jina jipya, tunasema amechepuka badala ya kubaki njia kuu. Juzijuzi...