Hoja ya Kingunge isijadiliwe kwa jazba
Mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru juzi alitoa kauli ambayo bahati mbaya imewakasirisha baadhi ya watu, ambao wanadai mwanasiasa huyo anatetea uvunjaji wa maadili na vitendo vya rushwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Feb
Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC
WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.
11 years ago
Habarileo22 May
Dk. Bilal- Ukawa acheni jazba
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewatoa hofu Watanzania wanaoishi nchini hapa kuhusu mvutano uliojitokeza katika Bunge Maalum la Katiba na kuwahakikishia kuwa ana imani litakapokutana Agosti mwaka huu mambo yatakwenda vizuri.
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Jazba iepukwe katika kujadili Rasimu ya Katiba
11 years ago
Mwananchi06 Jun
BRAZIL 2014: Jazba yawatoa Sterling, Valencia
9 years ago
Mwananchi25 Oct
SAIKOLOJIA : Je, unaweza kuepuka jazba katika ndoa?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R190Sf4cpujA1PUIissX41p6mwug2saqK7n7e04EF7vc59eun5ctMTF5UbQU00XcqYtDdp4cXyQE80hPE5KRVG6/jazba.jpg?width=650)
JAZBA ZATAWALA MKUTANO WA BONGO MOVIES, TRA
9 years ago
StarTV09 Oct
Wazee Chadema wasema Kuhama kwa Kingunge kusiwe sababu ya kumkebehi
Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limekemea tabia ya kukebehi na kudhihaki kitendo alichokifanya kada mkongwe wa CCM Kingunge Ngombale Mwiru cha kukihama Chama hicho na kudai kuwa kila Mtanzania ana uhuru wa kujiamulia masuala yake binafsi.
Wamedai kuhama chama kusipokelewe kama dhambi bali ni ukomavu wa mtu katika demokrasia.
Katibu Mkuu wa Baraza la Wazee wa Chadema Rodriki Rutembeka anazungumza na waandishi kuhusu hali halisi inavyoendelea tangu Mzee Kingunge...
10 years ago
Michuzi29 Jun
HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...