Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Bilal- Ukawa acheni jazba

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewatoa hofu Watanzania wanaoishi nchini hapa kuhusu mvutano uliojitokeza katika Bunge Maalum la Katiba na kuwahakikishia kuwa ana imani litakapokutana Agosti mwaka huu mambo yatakwenda vizuri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bilal: WanaCCM acheni makundi

Makamu wa Rais, ambaye pia ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Dk Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Wajumbe wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, jana kwa ajili ya kuzungumzia juu ya suala la maelekezo ya Halmashauri Kuu ya Taifa kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2014. (Picha na OMR).MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameonya baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutotengeneza makundi yanayoweza kuleta mpasuko ndani ya chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Ndesamburo: Ukawa acheni kulalamikia Jeshi la Polisi

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo.MBUNGE wa Jimbo la Moshi Mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Philemon Ndesamburo amewataka viongozi wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuacha kulilalamikia Jeshi la Polisi kutokana na kazi zao wanazozifanya ikiwa ni kulinda amani na usalama wa nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Kingunge isijadiliwe kwa jazba

Mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru juzi alitoa kauli ambayo bahati mbaya imewakasirisha baadhi ya watu, ambao wanadai mwanasiasa huyo anatetea uvunjaji wa maadili na vitendo vya rushwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Jazba iepukwe katika kujadili Rasimu ya Katiba

>Hatimaye Rasimu ya Pili ya Katiba iliwasilishwa bungeni jana baada ya kutokea sintofahamu juzi na kusababisha  kusitishwa kwa kikao cha Bunge Maalumu la Katiba pasipo Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuiwasilisha bungeni kama ilivyokuwa imepangwa.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unaweza kuepuka jazba katika ndoa?

Siku moja nilishuhudia tukio la kushangaza kwenye kituo cha daladala. Daladala moja ilisimama kituoni. Mara nikamuona mwanaume mmoja akitoka haraka kwenye daladala hiyo. Nyuma yake akatokea mwanamke aliyekuwa na hasira.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC

WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Jazba yawatoa Sterling, Valencia

Sterling alicheza kwa dakika 15 pekee baada ya kutokea benchi kabla ya kumvamia Valencia.

 

11 years ago

GPL

JAZBA ZATAWALA MKUTANO WA BONGO MOVIES, TRA

Na Deogratius Mongela
JAZBA baab’kubwa imeibuka katika mkutano wa wasanii wa filamu za Bongo ‘Bongo Movies’ na Bongo Fleva ulioandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na chombo cha kusimamia haki za wasanii nchini, Cosota. Jacob Steven ‘JB’. Tukio hilo lilijiri Jumatatu iliyopita ndani ya Ukumbi wa Vijana Social, Kinondoni, Dar ambapo mastaa wa filamu, Jacob Steven...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani