Bilal: WanaCCM acheni makundi
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameonya baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutotengeneza makundi yanayoweza kuleta mpasuko ndani ya chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Waride: Acheni kuendekeza makundi
NA ALLY NDOTA, ZANZIBAR
KATIBU wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (NEC), Zanzibar wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Waride Bakari Jabu, amewataka wana CCM kutoendeleza makundi kwani kufanya hivyo ni kudhoofisha nguvu za Chama hicho.
Alitoa onyo hilo wakati akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu za Majimbo ya Mtoni na Magogoni, Wilaya za Kichama za Mfenesini na Magharibi, Unguja.
Alisema viongozi wa CCM katika majimbo yote visiwani hapa, waache kuendeleza makundi yaliyotokana...
11 years ago
Habarileo22 May
Dk. Bilal- Ukawa acheni jazba
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewatoa hofu Watanzania wanaoishi nchini hapa kuhusu mvutano uliojitokeza katika Bunge Maalum la Katiba na kuwahakikishia kuwa ana imani litakapokutana Agosti mwaka huu mambo yatakwenda vizuri.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-g-lVS5-8IR4/VEUJMOqTtUI/AAAAAAADKNM/vVfj1Im3MM8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA MKUTANO MKUU WA WANACCM WILAYA YA ILALA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-g-lVS5-8IR4/VEUJMOqTtUI/AAAAAAADKNM/vVfj1Im3MM8/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3AsatGvaqnM/VEUJMHCrW3I/AAAAAAADKNI/Et5Nsz0ZRwE/s1600/03.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YZ5P2mK3A2U/VZFi_IKv73I/AAAAAAAHloI/Jo7tvucQweI/s72-c/MMGL0058.jpg)
LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO, ADHAMINIWA NA WANACCM 104,038
![](http://2.bp.blogspot.com/-YZ5P2mK3A2U/VZFi_IKv73I/AAAAAAAHloI/Jo7tvucQweI/s640/MMGL0058.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;
GROUP A;
Ufaransa
Romania
Albania
Switzerland
GROUP B;
Uingereza
Urusi
Wales
Slovakia
GROUP C;
Ujerumani
Ukraine
Poland
Northern Ireland
GROUP D;
Hispania
Jamhuri ya Czech
Uturuki
Croatia
GROUP E;
Belgium
Italia
Jamhuri...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
WanaCCM Mbeya watimkia CHADEMA
WANACCM zaidi ya 60 katika Kijiji cha Jojo, Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kujiunga kwa wanachama hao CHADEMA, kumemtia hofu mtendaji wa...
10 years ago
Habarileo08 Feb
WanaCCM Iringa Mjini watuhumiana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia hofu ya kupoteza tena jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, kama makada wake wataendelea kujikita kuwanadi watu wanaotajwa kugombea jimbo hilo, badala ya kukiimarisha chama hicho kwa kuelezea utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi.
10 years ago
Habarileo25 Jun
Nyalandu: WanaCCM jiandaeni kwa ushindi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema CCM ni chama pekee nchini ambacho kimefanikiwa na kinaendelea kupanua wigo wa demokrasia.