WanaCCM Iringa Mjini watuhumiana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia hofu ya kupoteza tena jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, kama makada wake wataendelea kujikita kuwanadi watu wanaotajwa kugombea jimbo hilo, badala ya kukiimarisha chama hicho kwa kuelezea utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x3sczgHJ9Bs/VYXE5JmvlzI/AAAAAAAHh34/utBqRkEdsKI/s72-c/MMGL0053.jpg)
LOWASSA ATINGA KATIKA MIKOA YA IRINGA NA NJOMBE, APATA UDHAMINI WA WANACCM 69,462
![](http://4.bp.blogspot.com/-x3sczgHJ9Bs/VYXE5JmvlzI/AAAAAAAHh34/utBqRkEdsKI/s640/MMGL0053.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Jun
MWIGULU NCHEMBA ADHAMINIWA MKOA WA NJOMBE,RUVUMA NA IRINGA,WANACCM WAENDELEA KUONESHA IMANI NAYE
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10154488_393433750858859_1819128764566284821_n.jpg?oh=4eaef34ca377728f3c95cdf42ad5d5f4&oe=55E7B28A)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10392466_393434047525496_2176990702918682452_n.jpg?oh=65836cc0b12952defe7cfa0f7f29cd28&oe=56234584)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10494595_393433774192190_3210889557090001643_n.jpg?oh=35f34d65058ca79775f067ca557a2ba5&oe=562C3F3D&__gda__=1445740677_fab1e291b8a415e599d69bca8e8b227e)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/67295_393433654192202_3850292501056272046_n.jpg?oh=ec129fe8283e80a8ff43e41d7a66d1ed&oe=5625894E)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YLuC-Ax2HFo/VZuXdCm30TI/AAAAAAAABv4/FNaD3LbWPjU/s72-c/20150601_161420.jpg)
Mamia ya wana Iringa waendelea kumchangia Mwanahabari Kibiki achukue fomu ya Ubunge Iringa mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-YLuC-Ax2HFo/VZuXdCm30TI/AAAAAAAABv4/FNaD3LbWPjU/s400/20150601_161420.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
10 years ago
MichuziVIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI
KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.
CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.
Katika...
9 years ago
Vijimambo07 Sep
MWIGULU NCHEMBA ASABABISHA MAFURIKO IRINGA MJINI,WANANCHI WAAHIDI KUMCHAGUA MWAKALEBELA KWA USTAWI WA IRINGA
![](https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11987063_424257781109789_1218270817209739675_n.jpg?oh=d3b25221b0ee98dc26e39703133fe598&oe=566C9D6B)
![](https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/10330376_424257834443117_2590905553608251965_n.jpg?oh=a3f7d44b65f6bae9791174720f3870fa&oe=566E5BB0)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-9/11954816_424257594443141_5282530544314119712_n.jpg?oh=13d73bee1c57e97dab5fabcceddde988&oe=567BA70F&__gda__=1454089245_9f13f1afb82220720964f12a406934f0)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YZ5P2mK3A2U/VZFi_IKv73I/AAAAAAAHloI/Jo7tvucQweI/s72-c/MMGL0058.jpg)
LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO, ADHAMINIWA NA WANACCM 104,038
![](http://2.bp.blogspot.com/-YZ5P2mK3A2U/VZFi_IKv73I/AAAAAAAHloI/Jo7tvucQweI/s640/MMGL0058.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Mar
DC, Mbunge watuhumiana
MKUU wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya amedai kuwa Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige amemwandalia kundi kubwa la vijana, ambao wamepanga kulipiga mawe gari lake, kutokana na msimamo wake aliouweka katika ugawaji wa chakula cha msaada kwa waathirika wa mvua kubwa ya mawe, iliyoua zaidi ya watu 46 katika kijiji cha Mwakata, wilayani hapa.
11 years ago
Habarileo07 Feb
Mbunge wa Iringa Mjini kizimbani
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) jana amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa kwa mashitaka ya kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Nduli.