Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC, Mbunge watuhumiana

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson MpesyaMKUU wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya amedai kuwa Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige amemwandalia kundi kubwa la vijana, ambao wamepanga kulipiga mawe gari lake, kutokana na msimamo wake aliouweka katika ugawaji wa chakula cha msaada kwa waathirika wa mvua kubwa ya mawe, iliyoua zaidi ya watu 46 katika kijiji cha Mwakata, wilayani hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

WanaCCM Iringa Mjini watuhumiana

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia hofu ya kupoteza tena jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, kama makada wake wataendelea kujikita kuwanadi watu wanaotajwa kugombea jimbo hilo, badala ya kukiimarisha chama hicho kwa kuelezea utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM watuhumiana kwa unafiki kila kona

Baada ya upepo wa Uchaguzi Mkuu kuanza kutulia, baadhi ya makada wa CCM wameanza kutuhumiana kuwa unafiki na hujuma zilizofanywa na baadhi ya wanancha wa chama hicho zimesababisha kishindwe kufanya vizuri katika baadhi ya maeneo kwa ngazi za udiwani na ubunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani