Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC

WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

James Mbatia awachambua wasomi, wanaCCM, hoja za Muungano

 Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mbatia, jana amewashambua wajumbe waliowengi bungeni na wasomi, kwa kulipotosha taifa katika mchakato wa kupata Katiba Mpya kutokana na kutumia takwimu na taarifa zisizo sahihi na kufanya propaganda katika suala la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Kingunge isijadiliwe kwa jazba

Mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru juzi alitoa kauli ambayo bahati mbaya imewakasirisha baadhi ya watu, ambao wanadai mwanasiasa huyo anatetea uvunjaji wa maadili na vitendo vya rushwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

KUSAFISHWA MAWAZIRI : Wasomi watoa hoja nzito

Profesa Muhongo, amesafishwa na serikali ddhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili.WASOMI na wanasiasa wametoa hoja nzito na kupongeza uamuzi wa Tume ya Sekretarieti ya Maadili na Tume ya Uchunguzi ya Rais, kuwasafisha viongozi wakiwemo mawaziri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomi Zanzibar waunga Muungano

Wanachuo Zanzibar wapinga hatua yoyote inayoweza kuvunja Muungano wa Tanzania

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi watetea mfumo wa Muungano

WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.

 

11 years ago

Mwananchi

Kigwangwalla aibuka na hoja ya muungano

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dk Hamisi Kigwangalla amesema ili kuondoa mvutano kuhusu muundo wa Muungano ni lazima yafanyike mambo mawili, ambayo ni kuongeza muda wa Rais kuwa madarakani au kubadili Katiba katika maeneo yanayohusu Tume ya Uchaguzi (NEC) pekee.

 

11 years ago

Habarileo

Hati za Muungano hoja Namba 1

SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani