NMB Mbele Kuhakikisha Upatikanaji wa Usawa kwa Wote
![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s72-c/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
Tukiadhimisha ‘Siku ya Wanawake Duniani’, Benki ya NMB imekua katika mstari wa mbele kuunga mkono kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani #EachForEqual, ambayo inaangazia Usawa kwa Wote. Katika Maadhimisho yaliyofanyika kitaifa Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu mapema leo, NMB imekua miongoni mwa wadhamini wakuu walionogesha maadhimisho hayo kwa kutoa shilingi Milioni 26 ambapo pesa taslimu ni milioni 5 pamoja na fulana zenye thamani ya shilingi Milioni 21.
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s72-c/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
NMB MBELE KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA USAWA
Tukiadhimisha ‘Siku ya Wanawake Duniani’, Benki ya NMB imekua katika mstari wa mbele kuunga mkono kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani EachForEqual, ambayo inaangazia Usawa kwa Wote. Katika Maadhimisho yaliyofanyika kitaifa Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu mapema leo, NMB imekua miongoni mwa wadhamini wakuu walionogesha maadhimisho hayo kwa kutoa shilingi Milioni 26 ambapo pesa taslimu ni milioni 5 pamoja na fulana zenye thamani ya shilingi Milioni 21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s640/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Upendeleo maalum,usawa kwa wote
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tume yatakiwa kuhakikisha uchaguzi wa haki, usawa
Na Wandishi Wetu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama imetakiwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa haki na usawa kuepuka machafuko yasitokee nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola, Goodluck Jonathan, alisema kufanikiwa kwa uchaguzi huo kunategemea kuwapo uwazi, haki na kufuata misingi ya utawala bora.
Alisema ili kuhakikisha amani inakuwapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d8CKV_HyXFY/Xkma7QC7y_I/AAAAAAAEFB0/lxZWH76UR5IL6jOzBhFHzCwWut0JI3BxACLcBGAsYHQ/s72-c/A11581861250574.jpg)
NMB kuhakikisha Mkoa wa Songwe unakuwa kiuchumi kupitia wawekezaji
Angela alisema hayo jana wakati alipokuwa akizindua kongamano la uwekezaji Mkoa wa Songwe, lililofanyika katika kiwanja cha Vwawa Wilayani Mbozi. Aliongeza kuwa, Mkoa huo una fursa nyingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QQbf6CzZnEM/XnNFgsC0FQI/AAAAAAALkaM/jR06jnAVhosvyvEgr-jkz_eIgCFqKK52ACLcBGAsYHQ/s72-c/moja.jpg)
SERIKALI IMEJIPANGA KUHAKIKISHA NISHATI YA MAFUTA INAPATIKANA MUDA WOTE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QQbf6CzZnEM/XnNFgsC0FQI/AAAAAAALkaM/jR06jnAVhosvyvEgr-jkz_eIgCFqKK52ACLcBGAsYHQ/s640/moja.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Zena Said(aliyesimama),akizungumza kwenye kikao baina Waziri wa Nishati na wadau mbalimbali wa Mafuta nchini,jijini Dar es Salaam, Machi 17,2020 (Kulia )Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani,( Kushoto) Naibu Katibu Mkuu Mhandisi Leonard Masanja.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/mbili.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xEsE-6NdbF0/default.jpg)