NMB kuhakikisha Mkoa wa Songwe unakuwa kiuchumi kupitia wawekezaji
![](https://1.bp.blogspot.com/-d8CKV_HyXFY/Xkma7QC7y_I/AAAAAAAEFB0/lxZWH76UR5IL6jOzBhFHzCwWut0JI3BxACLcBGAsYHQ/s72-c/A11581861250574.jpg)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji - Angela Kairuki amewata wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kutumia fursa ya Mkoa wa Songwe kuwa lango la nchi za SADC kwa kwenda kuwekeza katika sekta mbalimbali zilizopo Mkoani humo hasa katika sekta ya Kilimo ili kuinua uchumi wa Mkoa huo na nchi kwa ujumla.
Angela alisema hayo jana wakati alipokuwa akizindua kongamano la uwekezaji Mkoa wa Songwe, lililofanyika katika kiwanja cha Vwawa Wilayani Mbozi. Aliongeza kuwa, Mkoa huo una fursa nyingi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OGUBpgwZLwM/XlXwjaa1-XI/AAAAAAALfbo/mMEapaglkYgx-jurF9wCgj5YA4kSq70_ACLcBGAsYHQ/s72-c/1-59.jpg)
VIJANA WAWEKEZAJI KWENYE KILIMO WATAPATIWA ARDHI SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OGUBpgwZLwM/XlXwjaa1-XI/AAAAAAALfbo/mMEapaglkYgx-jurF9wCgj5YA4kSq70_ACLcBGAsYHQ/s640/1-59.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-48.jpg)
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA WAWEKEZAJI MKOANI SONGWE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZCvfJ2TmN8/VH628tXa8pI/AAAAAAAG05Y/MfTK9OirFYs/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Sasa NMB kuwafikia wateja wake Mpaka Vijijini kupitia NMB Wakala
Kuingia kwa MaxCom kwenye benki ya NMB kunamaanisha kuwa NMB itazidi kupanua Zaidi mtandao wao kwa kuingia hadi vijijini tofauti na benki zingine. Kupitia mawakala wa MaxCom, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka fedha kwenye...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s72-c/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
NMB MBELE KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA USAWA
Tukiadhimisha ‘Siku ya Wanawake Duniani’, Benki ya NMB imekua katika mstari wa mbele kuunga mkono kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani EachForEqual, ambayo inaangazia Usawa kwa Wote. Katika Maadhimisho yaliyofanyika kitaifa Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu mapema leo, NMB imekua miongoni mwa wadhamini wakuu walionogesha maadhimisho hayo kwa kutoa shilingi Milioni 26 ambapo pesa taslimu ni milioni 5 pamoja na fulana zenye thamani ya shilingi Milioni 21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s640/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s72-c/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
NMB Mbele Kuhakikisha Upatikanaji wa Usawa kwa Wote
![](https://1.bp.blogspot.com/-9Fob9eFW8ac/XmUKl7sKVqI/AAAAAAALh8o/ujdrIKBZRNEWZdF6Rqh3-rggOr5rzGpXwCLcBGAsYHQ/s640/b835796f-f82f-4ae3-8ee4-74a735ad4ade.jpg)
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s72-c/Untitled-1.jpg)
Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s1600/Untitled-1.jpg)
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...
5 years ago
MichuziMkoa wa Songwe wazindua Mwongozo wa Uwekezaji
Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki akimwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
“Uzinduzi wa Mwongozo huu unaonyesha dhamira ya kweli na utayari wa Mkoa wa Songwe kuvutia wawekezaji katika mkoa huu. Bado ninatoa rai kwa Mikoa ambayo bado haijakamilisha Miongozo wa Uwekezaji kufanya hivyo,” alisema.
Akizungumza ...
10 years ago
Habarileo10 Jul
Serikali yaanzisha mkoa wa Songwe, wilaya sita
SERIKALI imetangaza kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya mpya sita zikiwemo Ubungo, Kigamboni na Tanganyika. Mkoa wa Songwe ulikuwa sehemu ya Mkoa wa Mbeya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
MKANDARASI AZUIWA KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s640/1-11.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza wakati wa kukagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote muhimu kwa ajili ya ukamilishaji wa Mradi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-7.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wakikagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo Mkuu wa Mkoa amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote...