VIJANA WAWEKEZAJI KWENYE KILIMO WATAPATIWA ARDHI SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OGUBpgwZLwM/XlXwjaa1-XI/AAAAAAALfbo/mMEapaglkYgx-jurF9wCgj5YA4kSq70_ACLcBGAsYHQ/s72-c/1-59.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akifunga Kongamano la Vijana katika Kilimo lililofanyika Mkoa wa Songwe na Kuhusisha vijana takribani 700 kutoka Mikoa ya Songwe, Rukwa, Mbeya na Katavi ambapo ameahidi kuwapatia ardhi vijana wanaotaka kuwekeza katika Kilimo.
Vijana takribani 700 kutoka Mikoa ya Songwe, Rukwa, Mbeya na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania wahimizwa kuvutia wawekezaji kwenye kilimo
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, amewataka Watanzania kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza kwenye kilimo, ili uchumi uweze kukua kwa Watanzania wengi. Dk....
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA WAWEKEZAJI MKOANI SONGWE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d8CKV_HyXFY/Xkma7QC7y_I/AAAAAAAEFB0/lxZWH76UR5IL6jOzBhFHzCwWut0JI3BxACLcBGAsYHQ/s72-c/A11581861250574.jpg)
NMB kuhakikisha Mkoa wa Songwe unakuwa kiuchumi kupitia wawekezaji
Angela alisema hayo jana wakati alipokuwa akizindua kongamano la uwekezaji Mkoa wa Songwe, lililofanyika katika kiwanja cha Vwawa Wilayani Mbozi. Aliongeza kuwa, Mkoa huo una fursa nyingi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tx91gOjkY9U/VEYMOXvd1yI/AAAAAAAGsHk/XDTO_T0sUh4/s72-c/MMGM0728.jpg)
WAZIRI MKUU AALIKA WAWEKEZAJI KATIKA AFYA, KILIMO, NISHATI
![](http://3.bp.blogspot.com/-tx91gOjkY9U/VEYMOXvd1yI/AAAAAAAGsHk/XDTO_T0sUh4/s1600/MMGM0728.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Oktoba 20, 2014) wakati akishiriki Mjadala wa Marais (Presidential Keynote Panel) kuhusu fursa za uwekezaji barani Afrika uliolenga kuonyesha fursa za uwekezaji zilizopo barani Afrika hasa katika nchi za Tanzania, Uganda, Ghana na...
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Vijana wakumbatia kilimo Kenya
10 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yakaribisha wawekezaji binafsi kwenye sekta ya uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Bw. Suleiman Jafo akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi jana bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji Bi. Mary Nagu akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Bw. Lazaro Nyalandu kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. (PICHA ZOTE NA FATMA SALUM – MAELEZO).
Na Fatma Salum – Maelezo
Serikali kupitia...
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Vijana kuleta mageuzi ya kilimo nchini
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Kilimo ajira kwa vijana Kenya
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Vijana kufundishwa kilimo cha kisasa