Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana kuleta mageuzi ya kilimo nchini

Mwaka 1974, wakati taifa likiwa katika kampeni ya kilimo cha kufa na kupona, changamoto kubwa iliyokuwapo ni aina ya zana zilizokuwa zikitumika. Wananchi wengi walitumia jembe la mkono katika kuzalisha mali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKOA WA KATAVI KULETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KILIMO KWA MAZAO YA KIBIASHARA NCHINI

 Miche ya zao la korosho ambayo imeonekana kustawi vizuri ambapo kwa kuanza mkoa wamezalisha miche laki sita  na kusambaza kataika maenza mkoa wa Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Komredi Juma Homera 
Zao la pamba ambalo linaonekana kukubali katika ardhi ya katavi na linalotarajia mwaka huu  kuchakatwa Mkoani Katavi
zao la ufuta ambalo ni moja wapo ya zao lililoingia katika mfumo wa stakabadhi ghalani

Na. Josephine mallango 
Mkoa wa Katavi kuleta mapinduzi ya kilimo kwa mazao ya kibiashara nchini ...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI

 Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.  Baadhi wa Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni rasmi katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wanasayansi Vijana wakifuatilia mada wakati wa mkutano wa tatu wa Wanasayansi Vijana Duniani wenye lengo la kuhakikisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ridhiwani: Nimejipanga kuleta mageuzi sekta ya elimu Chalinze

KWA mujibu wa kamusi ya Kiswahilli, neno Ahadi lina maana ya sharti analojipa  mtu kulitimiza; agano,  mapatano. Kutokana na ukweli huo, ndio maana kuna msemo usemao ‘Ahadi ni deni’. Ili...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

M.Seif aahidi mageuzi ya kilimo

Zanzibar: Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF),Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chini ya uongozi wake atahakikisha anamjengea uwezo mkulima, kwa lengo la kumwezesha kuinuka kiuchumi.Maalim Seif alisema, atahakikisha wakulima wa Zanzibar wanalima kilimo […]

The post M.Seif aahidi mageuzi ya kilimo appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chini ya uongozi wake atahakikisha anamjengea uwezo mkulima, kwa lengo la kumwezesha kuinuka kiuchumi.

 

10 years ago

Michuzi

Utalii unavyoweza kuleta ajira kwa vijana

Kukua kwa biashara ya watalii kumeweza kutoa ajira kwa vijana wengi nchini,Huku ikikuza vipaji vya kazi za mikono ambapo zina soko kubwa kwa wageni kijana huyo alikutwa akichora picha ya mbuyu katika mitaa ya Hurumzi Stree Stone Town. Picha na Sabry Juma wa Zanzibar.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA NCCR-MAGEUZI WAMCHUKULIA FOMU MGOMBEA URAIS WA CHAMA HICHO,DK.MIHANGO

Mkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi,Faustine Sungura akizungumza na Wandishi wa habari katika Makao Makuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi,leo jijini Dar es Salaam,(kushoto) ni Katibu wa Vijana wa  Chama cha NCCR-Mageuzi Taifa Mawazo Atanas.

 Mkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi, Faustine Sungura akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Urais Katibu wa vijana wa  chama cha NCCR-Mageuzi taifa Mawazo Atanas kwa niaba ya  Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dk George Mihango,jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani