Serikali yaanzisha mkoa wa Songwe, wilaya sita
SERIKALI imetangaza kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya mpya sita zikiwemo Ubungo, Kigamboni na Tanganyika. Mkoa wa Songwe ulikuwa sehemu ya Mkoa wa Mbeya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Pinda atangaza wilaya sita mpya, mkoa mmoja
>Rais Jakaya Kikwete anamaliza utawala wake kwa kuongeza maeneo mapya ya utawala, baada ya kuridhia kuanzishwa kwa wilaya mpya sita na mkoa mmoja wa Songwe utakaofanya nchi kuwa na mikoa 31.
5 years ago
MichuziMkoa wa Songwe wazindua Mwongozo wa Uwekezaji
MKOA wa Songwe umezindua Mwongozo wa Uwekezaji na kuhamasisha wawekezaji kuchangamkia fursa lukuki zilizopo mkoani humo.
Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki akimwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
“Uzinduzi wa Mwongozo huu unaonyesha dhamira ya kweli na utayari wa Mkoa wa Songwe kuvutia wawekezaji katika mkoa huu. Bado ninatoa rai kwa Mikoa ambayo bado haijakamilisha Miongozo wa Uwekezaji kufanya hivyo,” alisema.
Akizungumza ...
Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki akimwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
“Uzinduzi wa Mwongozo huu unaonyesha dhamira ya kweli na utayari wa Mkoa wa Songwe kuvutia wawekezaji katika mkoa huu. Bado ninatoa rai kwa Mikoa ambayo bado haijakamilisha Miongozo wa Uwekezaji kufanya hivyo,” alisema.
Akizungumza ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
MKANDARASI AZUIWA KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s640/1-11.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza wakati wa kukagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote muhimu kwa ajili ya ukamilishaji wa Mradi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-7.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wakikagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo Mkuu wa Mkoa amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TrpzcNdkcGc/XowkwlCKDdI/AAAAAAAC2mg/qAESyce-TgQHoR68HdLH20EtG8ISghjPwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
APIGWA STOP KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-TrpzcNdkcGc/XowkwlCKDdI/AAAAAAAC2mg/qAESyce-TgQHoR68HdLH20EtG8ISghjPwCLcBGAsYHQ/s640/1-11.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa zuio hilo leo mara baada ya kutembelea Mradi wa maji wa Iyula ambao ulitarajiwa kukamilika tangu mwaka 2017 huku ukiwa na thamani ya shilingi bilioni tano.
Brig. Jen. Mwangela amesema mkandarasi huyo anatakiwa aweke...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Wilaya ya Kibaha yaanzisha baraza la amani
Wananchi katika halmashauri za Kibaha Mjini na Vijijini wameunda baraza la amani litakalohamasisha jamii kuwa na desturi ya kujadili namna ya kudumisha amani na endapo vitajitokeza viashiria vya uvunjifu litakutana kuvijadili na kutoa ushauri kwa mamlaka husika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d8CKV_HyXFY/Xkma7QC7y_I/AAAAAAAEFB0/lxZWH76UR5IL6jOzBhFHzCwWut0JI3BxACLcBGAsYHQ/s72-c/A11581861250574.jpg)
NMB kuhakikisha Mkoa wa Songwe unakuwa kiuchumi kupitia wawekezaji
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji - Angela Kairuki amewata wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kutumia fursa ya Mkoa wa Songwe kuwa lango la nchi za SADC kwa kwenda kuwekeza katika sekta mbalimbali zilizopo Mkoani humo hasa katika sekta ya Kilimo ili kuinua uchumi wa Mkoa huo na nchi kwa ujumla.
Angela alisema hayo jana wakati alipokuwa akizindua kongamano la uwekezaji Mkoa wa Songwe, lililofanyika katika kiwanja cha Vwawa Wilayani Mbozi. Aliongeza kuwa, Mkoa huo una fursa nyingi...
Angela alisema hayo jana wakati alipokuwa akizindua kongamano la uwekezaji Mkoa wa Songwe, lililofanyika katika kiwanja cha Vwawa Wilayani Mbozi. Aliongeza kuwa, Mkoa huo una fursa nyingi...
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WATEULE WA WILAYA ZA MKOA WA DODOMA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Abiria Songwe waipigia magoti Serikali
Abiria wanaotumia usafiri wa ndege katika Uwanja wa Kimataifa Songwe (Sia) mkoani hapa wameiomba Serikali itoe fedha za kuweka taa katika uwanja huo ili ndege zitue hata kukiwa na ukungu.
10 years ago
Habarileo26 Mar
Serikali yaanzisha Mfuko wa Ukimwi
SERIKALI imetangaza kuanzisha mfuko wa kudhibiti Ukimwi ili kupunguza utegemezi wa fedha za wahisani katika kudhibiti janga hilo na kupunguza idadi ya vifo vya Watanzania pale ambapo washirika wa maendeleo wakiamua kuondoa misaada yao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania