Abiria Songwe waipigia magoti Serikali
Abiria wanaotumia usafiri wa ndege katika Uwanja wa Kimataifa Songwe (Sia) mkoani hapa wameiomba Serikali itoe fedha za kuweka taa katika uwanja huo ili ndege zitue hata kukiwa na ukungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 May
Ndanda waipigia magoti Yanga
NA MICHAEL MAURUS, MTWARA
LIGI Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 inamalizika leo kwa timu 14 za ligi hiyo zitakapokuwa katika viwanjani tofauti, huku mabingwa wa ligi hiyo, timu ya Yanga wakiwa wenyeji wa Ndanda FC ya Mtwara.
Yanga, walioondoka Dar es Salaam juzi, tayari wamewasili mkoani humo kuwavaa Ndanda katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, huku wenyeji hao wakiomba ishinde mchezo huo ili isalie kwenye ligi hiyo inayodhaminiwa na Vodacom msimu ujao.
Ndanda, walio na pointi 28, ipo...
10 years ago
Habarileo02 Mar
Songwe wapiga magoti kuomba barabara ya lami
MBUNGE wa Songwe, Philip Mulugo pamoja na baadhi ya wananchi, wamempigia magoti Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kumwomba awatamkie ni lini barabara wanayoitegemea kwa usafirishaji itawekwa lami.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s72-c/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
WAFANAYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE SONGWE WACHELEWAJI KUFIKA KAZINI ABIRIA WALEO ALFAJIRI WASOTA KWA MASAA WAKIWASUBIRI WAFANYAKAZI HAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s640/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vT6Q8AiFHuI/VLTTaigEbfI/AAAAAAAAyTI/0rEn9AjXrtE/s640/10906033_10153501536512971_7923252858331797919_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C_blzpl0PRA/VLTTfqikY9I/AAAAAAAAyTQ/eYtD1IOfyR8/s640/10930912_10153501536687971_3684894397407205348_n.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Jul
Serikali yaanzisha mkoa wa Songwe, wilaya sita
SERIKALI imetangaza kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya mpya sita zikiwemo Ubungo, Kigamboni na Tanganyika. Mkoa wa Songwe ulikuwa sehemu ya Mkoa wa Mbeya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KfPCJFmOal6uNoc4xbn-lqZ-RSP9Z2U4cdXkpUbQNMb7WOEhISVEgouf-EDuBaKA-qvhJEjSg1vZJ7FSSritJK/157548BFC46F474195A4A04D3E3EA8CD_w443_r1.jpg?width=550)
55% WAIPIGIA KURA KATIBA YA MISRI
10 years ago
Habarileo11 Jan
Mgimwa, Msolla waipigia debe barabara Iringa-Ruaha
KIKAO cha Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Iringa kimeunda timu maalumu itakayokutana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda au Rais Jakaya Kikwete kuomba barabara ya Iringa mjini hadi Hifadhi ya Taifa ya Ruaha ijengwe kwa kiwango cha lami kabla ya awamu ya nne kumaliza muda wake.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hkYXBZ7-K-A/VLv0nBRD3_I/AAAAAAAAsa0/mPnUyqwN4iU/s72-c/LAZAROZ.jpg)
SERIKALI YA KENYA YAKUBALI KUYARUHUSU MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-hkYXBZ7-K-A/VLv0nBRD3_I/AAAAAAAAsa0/mPnUyqwN4iU/s1600/LAZAROZ.jpg)
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania, ilidumu kwa zaidi ya wiki mbili, ambapo katika kusaka suluhu hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...