Songwe wapiga magoti kuomba barabara ya lami
MBUNGE wa Songwe, Philip Mulugo pamoja na baadhi ya wananchi, wamempigia magoti Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kumwomba awatamkie ni lini barabara wanayoitegemea kwa usafirishaji itawekwa lami.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Mar
CCM wapiga magoti kuomba kura Kalenga
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Abiria Songwe waipigia magoti Serikali
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Tandahimba walilia barabara ya lami
ABIRIA wanaotumia barabara itokayo Mtwara kwenda Tandahimba na Newala wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuitengeneza kwa kiwango cha lami licha ya kusafirisha korosho wakati wa mavuno. Akizungumza na Tanzania Daima, Halima...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Sinza kujengwa barabara za lami
MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...
10 years ago
Habarileo13 Nov
‘Barabara za lami zafikia asilimia 58’
SERIKALI imejenga barabara nchini kwa kiwango cha lami kwa asilimia 58. Pia, zipo barabara 11,154 zilizo katika viwango mbalimbali vya ujenzi kwa kiwango hicho cha lami katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wizara yaahidi barabara za lami pembezoni
WIZARA ya Ujenzi imeanza kutekeleza mpango wa kujenga barabara kwa kiwango cha lami zilizopo pembezoni mwa mji ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha...
10 years ago
GPLWIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s72-c/cc3.jpg)
Mwisho wa lami barabara ya Kondoa-Babati
![](http://3.bp.blogspot.com/-C7MKHrjpVrA/VJX5D7jyRjI/AAAAAAAG4zU/1EGxp3Uh-ts/s1600/cc3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rI0sRynU4dc/VJX5FzlknrI/AAAAAAAG4zc/_G28iVZidNw/s1600/cc4.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Oct
Zitto aahidi barabara za lami Kigoma
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kama wananchi wakiwachagua wagombea wa ubunge katika majimbo manane wa mkoa wa Kigoma kutoka chama hicho, watahakikisha barabara kutoka mji wa Nyakanazi yenye urefu wa kilometa 340 inajengwa kwa kiwango cha lami.