APIGWA STOP KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-TrpzcNdkcGc/XowkwlCKDdI/AAAAAAAC2mg/qAESyce-TgQHoR68HdLH20EtG8ISghjPwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
Mkandarasi wa Mradi wa maji wa Iyula uliopo Wilaya ya Mbozi amezuiwa kutoka Nje ya Mkoa wa Songwe huku akiwekwa chini ya uangalizi wa jeshi la Polisi mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu watakaomalizia Mradi huo.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa zuio hilo leo mara baada ya kutembelea Mradi wa maji wa Iyula ambao ulitarajiwa kukamilika tangu mwaka 2017 huku ukiwa na thamani ya shilingi bilioni tano.
Brig. Jen. Mwangela amesema mkandarasi huyo anatakiwa aweke...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
MKANDARASI AZUIWA KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s640/1-11.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza wakati wa kukagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote muhimu kwa ajili ya ukamilishaji wa Mradi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-7.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wakikagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo Mkuu wa Mkoa amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Maswi apigwa 'stop'
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue naye ametangaza kumsimamisha kazi kwa muda Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200504_105339_719.jpg)
RC.GAMBO ATAKA MBINU MBADALA YA KARANTINI KWA WAGENI KUTOKA NJE YA MKOA KUINUA SEKTA YA UTALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200504_105339_719.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega na kaim Mganga wa mkoa wa Arusha Dkt.Omary Shariff wakipokea vitakasa mikono lita 500 vilivyotolewa na Kampuni ya Bia ya TBL leo kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LVBXU6TKvs8/Xq_xhWTUo4I/AAAAAAAAJR8/A0m8liJTlU8R-r7s8cjHisYtHgINKst_ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200504_111752_517.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiongea Mara baada ya kupokea vitakasa mikono kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda Cha bia Joseph Mwaikasu Leo jijini Arusha picha na Ahmed...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Okwi apigwa ‘stop’ Yanga
WAKATI Yanga wakitarajiwa kutua nchini leo, imepata pigo baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha usajili wa mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi, hadi utakapopatikana ufafanuzi kutoka Shirikisho la Kimataifa (Fifa)....
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Hamilton apigwa ‘stop’ kuwasiliana na Rihanna
NEW YORK, Marekani
NYOTA wa mbio za magari, Lewis Hamilton, amepigwa marufuku na mchumba wake, Nicole Scherzinger, kuendelea kuwasiliana na mwanamitindo na mwanamuziki mashuhuri nchini Marekani, Rihanna.
Kauli ya mwanadada huyo kumpiga ‘stop’ mpenzi wake huyo kunatokana na tetesi kwamba nyota huyo wa mbio za magari ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki Rihanna.
“Nimemwambia Hamilton akate mawasiliano na Rihanna na kama hataki akate mawasiliano na mimi ili wawe na uhuru.
“Nimempa muda wa...
5 years ago
MichuziMkoa wa Songwe wazindua Mwongozo wa Uwekezaji
Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki akimwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
“Uzinduzi wa Mwongozo huu unaonyesha dhamira ya kweli na utayari wa Mkoa wa Songwe kuvutia wawekezaji katika mkoa huu. Bado ninatoa rai kwa Mikoa ambayo bado haijakamilisha Miongozo wa Uwekezaji kufanya hivyo,” alisema.
Akizungumza ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QmRFQRFpoAR2jA6krR-iE*VprKu13HI--FlQsUIufGG90gP*ItnP81cGYhkNWVJ-w2GmPyHWGJySIrUJ1PgfEkFS56MfXzlJ/amandacopy.jpg?width=650)
AMANDA APIGWA ‘STOP’ NA BASATA!
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mwekezaji vitalu vya uwindaji apigwa ‘stop’
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, limewakataa mwekezaji, Shen na wenzake Wembele Hunting Safaris wanaofanya kazi za uwindaji katika pori la misitu ya hifadhi iliyoko...
10 years ago
Habarileo10 Jul
Serikali yaanzisha mkoa wa Songwe, wilaya sita
SERIKALI imetangaza kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya mpya sita zikiwemo Ubungo, Kigamboni na Tanganyika. Mkoa wa Songwe ulikuwa sehemu ya Mkoa wa Mbeya.