RC.GAMBO ATAKA MBINU MBADALA YA KARANTINI KWA WAGENI KUTOKA NJE YA MKOA KUINUA SEKTA YA UTALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200504_105339_719.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega na kaim Mganga wa mkoa wa Arusha Dkt.Omary Shariff wakipokea vitakasa mikono lita 500 vilivyotolewa na Kampuni ya Bia ya TBL leo kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiongea Mara baada ya kupokea vitakasa mikono kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda Cha bia Joseph Mwaikasu Leo jijini Arusha picha na Ahmed...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Tunahitaji mbinu mbadala za utalii nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s72-c/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s640/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli.
Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.
“Lengo ni...
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
5 years ago
MichuziMRISHO GAMBO ATOA ANYO KWA WAONGOZA UTALII JIJINI ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-61MO7nU5qJU/XqmGdPqCqfI/AAAAAAALolE/eUzIXHoSAVAOvNS1YdghCfL94MdBi_N1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-50-2048x1536.jpg)
BODI YA UTALII YATAJA MIKAKATI ENDELEVU 10 KUINUA UTALII KATIKA MLIPUKO WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-61MO7nU5qJU/XqmGdPqCqfI/AAAAAAALolE/eUzIXHoSAVAOvNS1YdghCfL94MdBi_N1wCLcBGAsYHQ/s640/1-50-2048x1536.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza na Waandishi wa Habari katika Mkutano wa Bodi uliofanyika Jijini Dar es Salaam Aprili, 29, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2B-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3-22-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
MKANDARASI AZUIWA KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-pJoks1-ldRw/XowOTx96iAI/AAAAAAALmUU/1xbHD8N08RQBXhMk5BmgBp3mBrQi-SK2wCLcBGAsYHQ/s640/1-11.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza wakati wa kukagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote muhimu kwa ajili ya ukamilishaji wa Mradi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-7.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wakikagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo Mkuu wa Mkoa amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TrpzcNdkcGc/XowkwlCKDdI/AAAAAAAC2mg/qAESyce-TgQHoR68HdLH20EtG8ISghjPwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-11.jpg)
APIGWA STOP KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-TrpzcNdkcGc/XowkwlCKDdI/AAAAAAAC2mg/qAESyce-TgQHoR68HdLH20EtG8ISghjPwCLcBGAsYHQ/s640/1-11.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa zuio hilo leo mara baada ya kutembelea Mradi wa maji wa Iyula ambao ulitarajiwa kukamilika tangu mwaka 2017 huku ukiwa na thamani ya shilingi bilioni tano.
Brig. Jen. Mwangela amesema mkandarasi huyo anatakiwa aweke...
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Sekta ya utalii yaingiza dola bilioni 2 kwa mwaka
NA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu, amesema sekta ya utalii nchini inaongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni na kufikia dola za Marekani bilioni 2 kwa mwaka kutokana na hali ya mabadiliko ya mfumo wa mapato hayo.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na taasisi inayoshughulika na mambo ya utafiti wa kupunguza umasikini (Repoa), ambapo aliitaja sekta ya madini hasa ya dhahabu kuwa ya pili...