Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC.GAMBO ATAKA MBINU MBADALA YA KARANTINI KWA WAGENI KUTOKA NJE YA MKOA KUINUA SEKTA YA UTALII


Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega na kaim Mganga wa mkoa wa Arusha Dkt.Omary Shariff wakipokea vitakasa mikono lita 500 vilivyotolewa na Kampuni ya Bia ya TBL leo kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiongea Mara baada ya kupokea vitakasa mikono kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda Cha bia Joseph Mwaikasu Leo jijini Arusha picha na Ahmed...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji mbinu mbadala za utalii nchini

Katika makala yangu ya wiki iliyopita niliandika juu ya uzoefu wangu wa kuandika habari za utalii wa miaka inayozidi minne sasa. Nataka kuelezea leo nilichokiona kuhusu wale wanaodai wanaukuza utalii nchini.

 

5 years ago

Michuzi

Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli


 Na WAMJW-Dar es Salaam

Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es  Salaam maarufu hosteli za Magufuli.

Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.

“Lengo ni...

 

5 years ago

CCM Blog

GAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ametoa onyo kali kwa waongoza utalii wanaofanya shughuli zao Mkoani Arusha baada ya kuhusishwa na usambazaji wa video na picha zinazoonesha uharibifu wa miundombinu katika mamlaka ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro.

Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.

 “Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...

 

9 years ago

Dewji Blog

HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii

__800x800_51d3b4b77dc78

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.

Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...

 

5 years ago

Michuzi

MRISHO GAMBO ATOA ANYO KWA WAONGOZA UTALII JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ametoa onyo kali kwa waongoza utalii wanaofanya shughuli zao Mkoani Arusha baada ya kuhusishwa na usambazaji wa video na picha zinazoonesha uharibifu wa miundombinu katika mamlaka ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro.
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
 “Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA UTALII YATAJA MIKAKATI ENDELEVU 10 KUINUA UTALII KATIKA MLIPUKO WA CORONA


Mwenyekiti wa Bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza na Waandishi wa Habari katika Mkutano wa Bodi uliofanyika Jijini Dar es Salaam Aprili, 29, 2020.Wajumbe wa Bodi wakifuatilia Mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa Bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas uliofanyika Jijini Dar es Salaam Aprili, 29, 2020.Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii (TTB), Bi. Devotha Mdachi akifafanua jambo kwa waandishi wa...

 

5 years ago

Michuzi

MKANDARASI AZUIWA KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE


Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza wakati wa kukagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote muhimu kwa ajili ya ukamilishaji wa Mradi huo.
Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wakikagua mabomba ya maji katika Mradi wa Iyula ambapo Mkuu wa Mkoa amemzuia Mkandarasi wa Mradi huo kutotoka Mkoa wa Songwe Mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu wote...

 

5 years ago

CCM Blog

APIGWA STOP KUTOKA NJE YA MKOA WA SONGWE

  Mkandarasi wa Mradi wa maji wa Iyula uliopo Wilaya ya Mbozi amezuiwa kutoka Nje ya Mkoa wa Songwe huku akiwekwa chini ya uangalizi wa jeshi la Polisi mpaka atakapo kamilisha vifaa na wataalamu watakaomalizia Mradi huo.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa zuio hilo leo mara baada ya kutembelea Mradi wa maji wa Iyula ambao ulitarajiwa kukamilika tangu mwaka 2017 huku ukiwa na thamani ya shilingi bilioni tano.
Brig. Jen. Mwangela amesema mkandarasi huyo anatakiwa aweke...

 

10 years ago

Mtanzania

Sekta ya utalii yaingiza dola bilioni 2 kwa mwaka

Gavana nduluNA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu, amesema sekta ya utalii nchini inaongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni na kufikia dola za Marekani bilioni 2 kwa mwaka kutokana na hali ya mabadiliko ya mfumo wa mapato hayo.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na taasisi inayoshughulika na mambo ya utafiti wa kupunguza umasikini (Repoa), ambapo aliitaja sekta ya madini hasa ya dhahabu kuwa ya pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani