Tunahitaji mbinu mbadala za utalii nchini
Katika makala yangu ya wiki iliyopita niliandika juu ya uzoefu wangu wa kuandika habari za utalii wa miaka inayozidi minne sasa. Nataka kuelezea leo nilichokiona kuhusu wale wanaodai wanaukuza utalii nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200504_105339_719.jpg)
RC.GAMBO ATAKA MBINU MBADALA YA KARANTINI KWA WAGENI KUTOKA NJE YA MKOA KUINUA SEKTA YA UTALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200504_105339_719.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega na kaim Mganga wa mkoa wa Arusha Dkt.Omary Shariff wakipokea vitakasa mikono lita 500 vilivyotolewa na Kampuni ya Bia ya TBL leo kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LVBXU6TKvs8/Xq_xhWTUo4I/AAAAAAAAJR8/A0m8liJTlU8R-r7s8cjHisYtHgINKst_ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200504_111752_517.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiongea Mara baada ya kupokea vitakasa mikono kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda Cha bia Joseph Mwaikasu Leo jijini Arusha picha na Ahmed...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-D0nR4cRbrUk/VGpZk2u6xoI/AAAAAAAATXs/PR0ARLePh6w/s72-c/34.jpg)
KINANA : WAPINZANI WAMEKOSA SERA MBADALA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0nR4cRbrUk/VGpZk2u6xoI/AAAAAAAATXs/PR0ARLePh6w/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v44SiS7BdbU/VGpZkoVNDWI/AAAAAAAATXk/GepDHw68u6k/s1600/30.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7F9IveqR-pY/VGpZky8bHCI/AAAAAAAATXo/G1XTKXftfsk/s1600/32.jpg)
5 years ago
MichuziWANACHAMA WA SHIRIKA LA FORUMCC KUTOKA MBALIMBALI NCHINI WAPIGWA MSASA KUHUSU UTUMIAJI WA NISHATI MBADALA KATIKA KILIMO
Moja ya watalaam wa masuala ya kilimo biashara akielezea namna bora ya upandaji mgomba wakati wanachama wa FORUMCC walipokuwa kwenye ziara ya kimafunzo kutembelea katika moja ya shamba lililoko Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA).
Baadhi ya wanachama wa FORUMCC ambao wako kwenye kwenye ziara ya kimafunzo mkoani Morogoro kujifunza namna ambavyo nishati jadidifu inavyoweza kutumika katika shughuli za kilimo kama njia mojawapo ya kukabilina na athari za mabadiliko ya tabianchi.Ziara hiyo ya kimafunzo...
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Ongezeko la utalii wa kimatibabu nchini India
Mapema wiki hii dunia iliungana kuadhimisha Siku ya Afya Duniani, kimataifa ni siku ambayo huadhimishwa tarehe 7 Aprili kila mwaka. Siku hii imekuwa ikienda sambamba na masuala ya kiafya na mambo mengine mbalimbali yanayotambua hatua zinazochukuliwa na sekta ya afya katika kupambana na magonjwa. Katika miaka ya hivi karibuni mataifa mengi yanayoendelea yamekuwa yakifanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa huduma ya afya ili kuendana na viwango vya kimataifa vilivyowekwa na Ulaya na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bEhvw3F4_IM/XsNyOaZhb_I/AAAAAAALqts/uDMRdphZgj4t0btV2-ynJtwdHNEsVqn6wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
SHUGHULI ZA UTALII KUANZA TENA NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bEhvw3F4_IM/XsNyOaZhb_I/AAAAAAALqts/uDMRdphZgj4t0btV2-ynJtwdHNEsVqn6wCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, Dkt. Kigwangalla amesema shughuli za Utalii zimeanza tena rasmi leo huku akisisitiza kuwa, Tanzania itafuata utaratibu wa kujikinga na kuwakinga watalii dhidi ya ugonjwa wa COVID - 19 kwa kufuata na kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Afya na Shirika la Afya Duniani (...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mkurugenzi Bodi ya Utalii nchini avuliwa madaraka
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-a1KkhezR-BY/VMBZPb0nKQI/AAAAAAAAsho/NgX8xnJ9XBk/s72-c/9J.jpg)
NYALANDU KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UTALII NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-a1KkhezR-BY/VMBZPb0nKQI/AAAAAAAAsho/NgX8xnJ9XBk/s640/9J.jpg)
Katika kuhakikisha hilo linafanyika kwa mafanikio na kwa haraka, Nyalandu ametangaza kuanza kwa vikao vitakavyowakutanisha wataalamu wa Wizara zinazohusika na maliasili na utalii za Tanzania na Kenya kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali iili yapatiwe ufumbuzi kwa maslahi ya pande zote.
Hatua hiyo imetokana na...