Ongezeko la utalii wa kimatibabu nchini India
Mapema wiki hii dunia iliungana kuadhimisha Siku ya Afya Duniani, kimataifa ni siku ambayo huadhimishwa tarehe 7 Aprili kila mwaka. Siku hii imekuwa ikienda sambamba na masuala ya kiafya na mambo mengine mbalimbali yanayotambua hatua zinazochukuliwa na sekta ya afya katika kupambana na magonjwa. Katika miaka ya hivi karibuni mataifa mengi yanayoendelea yamekuwa yakifanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa huduma ya afya ili kuendana na viwango vya kimataifa vilivyowekwa na Ulaya na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India
Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).
Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar
Wizara ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s72-c/INDIA1.jpg)
TANZANIA YASHINDA TUZO YA UTALII NCHINI INDIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s640/INDIA1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyvoSviojYQ/XlLOo8yiuyI/AAAAAAAA91c/x7elC_BiY3kjIlNUXu1vU6nU9iBPg6g1gCLcBGAsYHQ/s640/INDIA2.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia) akipokea Tuzo ya Utalii baada ya Tanzania kuibuka mshindi kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la Utalii wa Wanyamapori duniani nchini India kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination) iliyotangazwa katika hafla ya kutoa tuzo hizo zilizotolewa na Jarida la Utalii la "Outlook Traveller Magazine" na kufanyika katika Hoteli ya Rossette jijini New Delhi, India tarehe 22 Februari 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LPfrjx1_EY/XlLOwmNPniI/AAAAAAAA91k/w2BM0Cb3S18bPsbyzw0hyt8jnqPMHFcdACLcBGAsYHQ/s640/INDIA4.jpg)
Mhe. Balozi Luvanda akifuatilia...
10 years ago
Vijimambo18 Feb
DIA NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI YA KUANZISHWA KWA OFISI YA KUTANGAZA UTALII WA ZANZIBAR NCHINI INDIA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/BAR1.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/BAR2.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Zanzibar kufungua ofisi ya utalii India
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Ongezeko la ajali nchini Tanzania
10 years ago
Dewji Blog27 Dec
NHC yakabiliana na tatizo la moyo nchini kwa kusaidia matibabu ya watoto 53 nchini India
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 26, 2014 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ya kuwaaga jumla ya watoto 55 wenye matatizo ya ugonjwa wa Moyo kati ya 104, waliofadhiliwa na Lions Club ya jijini, kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Watoto hao 55 wa awamu ya kwanza walionza kuondoka nchini jana.
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limechangia kiasi cha takribani shilingi...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bEhvw3F4_IM/XsNyOaZhb_I/AAAAAAALqts/uDMRdphZgj4t0btV2-ynJtwdHNEsVqn6wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
SHUGHULI ZA UTALII KUANZA TENA NCHINI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bEhvw3F4_IM/XsNyOaZhb_I/AAAAAAALqts/uDMRdphZgj4t0btV2-ynJtwdHNEsVqn6wCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, Dkt. Kigwangalla amesema shughuli za Utalii zimeanza tena rasmi leo huku akisisitiza kuwa, Tanzania itafuata utaratibu wa kujikinga na kuwakinga watalii dhidi ya ugonjwa wa COVID - 19 kwa kufuata na kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Afya na Shirika la Afya Duniani (...