Ongezeko la ajali nchini Tanzania
Haba na Haba inaangalia haki za madereva wa magari ya abiria na pia tatizo la kuongezeka kwa ajali za magari nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Ongezeko la utalii wa kimatibabu nchini India
Mapema wiki hii dunia iliungana kuadhimisha Siku ya Afya Duniani, kimataifa ni siku ambayo huadhimishwa tarehe 7 Aprili kila mwaka. Siku hii imekuwa ikienda sambamba na masuala ya kiafya na mambo mengine mbalimbali yanayotambua hatua zinazochukuliwa na sekta ya afya katika kupambana na magonjwa. Katika miaka ya hivi karibuni mataifa mengi yanayoendelea yamekuwa yakifanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa huduma ya afya ili kuendana na viwango vya kimataifa vilivyowekwa na Ulaya na...
9 years ago
StarTV14 Nov
Tanzania yatajwa kuwa na ongezeko la wagonjwa ya kisukari
Tanzania yatajwa kuwa nchi ya 8 kati ya nchi kumi Barani Afrika zinazoongoza kwa wagonjwa wa Kisukari, kwasababu ya ongezeko la wa watu wenye kisukari kadri siku zinavyokwenda katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kutokana na tafiti za Kisukari za mwaka 2012, zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2035 idadi ya wagonjwa wa kisukari inatarajiawa kufikia million 592 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutozingatia kanuni za afya.
Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya Kisukari Duniani,...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Botswana nchini Tanzania Ikulu Dar, akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana,...
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Nini hatima ya ajali nchini?
11 years ago
MichuziMARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Ajali yawaua watu 31 nchini Morocco