Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nini hatima ya ajali nchini?

Usafiri wa pikipiki umekuwa maarufu mkoani Iringa na Tanzania kwa jumla. Kwa miaka mitatu hivi sasa, pikipiki zinaonekana kutegemewa na wengi hasa wale ambao wana haraka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nini hatima ya deni la Taifa?

Taarifa iliyotolewa hivi karibuni inayoonyesha kuwa deni la Taifa linakua kwa wastani wa Sh2 trilioni kila mwaka, imepokewa tofauti, huku wengi wakilalamikia hali hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nini Hatima ya Uhuru Kenyata?

SEPTEMBA  19  mwaka huu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita  (ICC) iliamuru Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, afike katika mahakama hiyo Oktoba 8 mwaka huu Amri hiyo ilitolewa kwa madai serikali yake...

 

11 years ago

Mwananchi

Nini hatima ya Tanzania baada ya kugundua mafuta- 2

Wiki iliyopita tulieleza uzoefu wa mataifa kadhaa barani Afrika yaliyobahatika kuwa na hazina ya utajiri wa rasilimali nyingi zikiwemo mafuta, gesi na madini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yetu, ajali pia zetu zitumalize, tuna nini!

>Nilipoandika kwenye safu hii nikiomboleza misiba ya Watanzania wenzetu zaidi ya 1,000 ambao ajali lukuki za barabarani zimekatisha tena bila huruma maisha yao, zimezima ndoto na matumaini yao mengi, sikujua kama misiba mingi zaidi itaendelea kuirarua nchi yetu kwa kiasi hiki cha kusikitisha.

 

10 years ago

Michuzi

Mjadala: kifanyike nini kupunguza ama kukomesha ajali barabarani??

Taswira hii inayosambaa kila pembe katika mitandao ya jamii na Globu ya Jamii kuipata ndiyo chachu ya mjadala wetu ambao mdau unaombwa kuchangia bila kuchafua hali ya hewa. Ukweli ni kwamba THIS IS TOO MUCH! Ni lazima kifanyike kitu ama lifanyike jambo kukomesha maafa ya kila mara nchini kutokana na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Tanzania Daima

Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?

ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi nchini Malawi umetufunza nini?

Wananchi wa Malawi wamempata rais mpya baada ya wiki iliyopita kumchagua Profesa Peter Mutharika kuiongoza nchi hiyo. Rais Mutharika, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa kaka yake, hayati Rais Bingu wa Mutharika, alishinda kiti hicho kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote, huku aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 20.2 akitanguliwa na Dk Lazarus Chakwera aliyepata asilimia 27.8.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?

Mara kadhaa, watu wa kada mbalimbali wakizungumzia tatizo la ajira nchini, baadhi ya viongozi wa serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani