Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi nchini Malawi umetufunza nini?

Wananchi wa Malawi wamempata rais mpya baada ya wiki iliyopita kumchagua Profesa Peter Mutharika kuiongoza nchi hiyo. Rais Mutharika, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa kaka yake, hayati Rais Bingu wa Mutharika, alishinda kiti hicho kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote, huku aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 20.2 akitanguliwa na Dk Lazarus Chakwera aliyepata asilimia 27.8.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA

DONALD TRUMP
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi: Mdahalo umetufunza mengi

>Mdahalo wa Katiba ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere na kurushwa juzi na ITV umeelezwa kuwa uliotoa mafunzo makubwa kwa watu wengi katika maeneo mbalimbali nchini kuhusu mchakato wa Katiba Mpya.

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi mpya wa Denmark nchini na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malawi wakutana na Dk Shein Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi mpya wa Denmark katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Einar Hebogard alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kujitambulisha.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na mgeni wake Balozi mpya wa Denmark katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Einar Hebogard alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Malawi kwa picha

Wapigaji kura waliochoka kusubiri kwenye foleni waliamua kuteketeza karatasi na sanduku za kupigia kura

 

11 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi

Hatimaye Tume ya uchaguzi nchini Malawi imeanza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jumanne iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika

Maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Malawi yamekamilika huku wagombea 12 wakikabana koo kuwania urais. Tathmini ya Baruan Muhuza

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Malawi wageuka 'Sarakasi'

Uchaguzi wa Malawi umeendelea kubeba sura mpya ya sarakasi za mapingamizi ya kisheria, baada ya mahakama kuu kuamuru Tume ya uchaguzi nchini humo iendelee na mipango ya kazi zake

 

11 years ago

BBCSwahili

Malawi;Matokeo ya uchaguzi ni Ijumaa

Tume ya Uchaguzi ya Malawi imesema kuwa itatangaza matokeo ya uchaguzi mkuu siku ya Ijumaa

 

11 years ago

BBCSwahili

Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi

Siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu Malawi na matatizo yameshuhudia katika kuhesabu kura, ikiwemo kuharibika kwa mitambo ya hesabu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani