Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa Malawi kwa picha

Wapigaji kura waliochoka kusubiri kwenye foleni waliamua kuteketeza karatasi na sanduku za kupigia kura

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA: MKUTANO MKUU MAALUM WA UCHAGUZI WA MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM WAFANYIKA USIKU HUU

 Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, John Magufuli akingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya uchaguzi leo usiku wa kupata mgombea mmoja wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu Picha nyingine zinazofuata ni za matukio mbalimbali ya mkutano huo mkuu maalum wa CCM. Kumradhi hazitakuwa na maelezo kutokana na muda, maelezo. Na kwa mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi

Hatimaye Tume ya uchaguzi nchini Malawi imeanza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jumanne iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Malawi;Matokeo ya uchaguzi ni Ijumaa

Tume ya Uchaguzi ya Malawi imesema kuwa itatangaza matokeo ya uchaguzi mkuu siku ya Ijumaa

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Malawi wageuka 'Sarakasi'

Uchaguzi wa Malawi umeendelea kubeba sura mpya ya sarakasi za mapingamizi ya kisheria, baada ya mahakama kuu kuamuru Tume ya uchaguzi nchini humo iendelee na mipango ya kazi zake

 

11 years ago

BBCSwahili

Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika

Maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Malawi yamekamilika huku wagombea 12 wakikabana koo kuwania urais. Tathmini ya Baruan Muhuza

 

11 years ago

BBCSwahili

Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi

Siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu Malawi na matatizo yameshuhudia katika kuhesabu kura, ikiwemo kuharibika kwa mitambo ya hesabu

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi nchini Malawi umetufunza nini?

Wananchi wa Malawi wamempata rais mpya baada ya wiki iliyopita kumchagua Profesa Peter Mutharika kuiongoza nchi hiyo. Rais Mutharika, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa kaka yake, hayati Rais Bingu wa Mutharika, alishinda kiti hicho kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote, huku aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 20.2 akitanguliwa na Dk Lazarus Chakwera aliyepata asilimia 27.8.

 

11 years ago

Habarileo

Mazungumzo ya mpaka yasubiri uchaguzi Malawi

JOPO la marais wa zamani wanaoshughulikia mgogoro wa Ziwa Nyasa baina ya Tanzania na Malawi, linasubiri kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Malawi unaotarajia kufanyika Jumanne ijayo, ili kuingia katika awamu ya pili ya mazungumzo ya kumaliza mgogoro huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Tume ya uchaguzi matatani Malawi

Mahakama kuu nchini Malawi imesema Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na makamishna wake wanakabiliwa na mashitaka ya kudharau mahakama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani