Uchaguzi wa Malawi kwa picha
Wapigaji kura waliochoka kusubiri kwenye foleni waliamua kuteketeza karatasi na sanduku za kupigia kura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
PICHA: MKUTANO MKUU MAALUM WA UCHAGUZI WA MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM WAFANYIKA USIKU HUU

11 years ago
BBCSwahili24 May
Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi
Hatimaye Tume ya uchaguzi nchini Malawi imeanza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jumanne iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili29 May
Malawi;Matokeo ya uchaguzi ni Ijumaa
Tume ya Uchaguzi ya Malawi imesema kuwa itatangaza matokeo ya uchaguzi mkuu siku ya Ijumaa
11 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi wa Malawi wageuka 'Sarakasi'
Uchaguzi wa Malawi umeendelea kubeba sura mpya ya sarakasi za mapingamizi ya kisheria, baada ya mahakama kuu kuamuru Tume ya uchaguzi nchini humo iendelee na mipango ya kazi zake
11 years ago
BBCSwahili19 May
Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika
Maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Malawi yamekamilika huku wagombea 12 wakikabana koo kuwania urais. Tathmini ya Baruan Muhuza
11 years ago
BBCSwahili22 May
Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi
Siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu Malawi na matatizo yameshuhudia katika kuhesabu kura, ikiwemo kuharibika kwa mitambo ya hesabu
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Uchaguzi nchini Malawi umetufunza nini?
Wananchi wa Malawi wamempata rais mpya baada ya wiki iliyopita kumchagua Profesa Peter Mutharika kuiongoza nchi hiyo. Rais Mutharika, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa kaka yake, hayati Rais Bingu wa Mutharika, alishinda kiti hicho kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote, huku aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 20.2 akitanguliwa na Dk Lazarus Chakwera aliyepata asilimia 27.8.
11 years ago
Habarileo16 May
Mazungumzo ya mpaka yasubiri uchaguzi Malawi
JOPO la marais wa zamani wanaoshughulikia mgogoro wa Ziwa Nyasa baina ya Tanzania na Malawi, linasubiri kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Malawi unaotarajia kufanyika Jumanne ijayo, ili kuingia katika awamu ya pili ya mazungumzo ya kumaliza mgogoro huo.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Maafisa wa Tume ya uchaguzi matatani Malawi
Mahakama kuu nchini Malawi imesema Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na makamishna wake wanakabiliwa na mashitaka ya kudharau mahakama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania