Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malawi;Matokeo ya uchaguzi ni Ijumaa

Tume ya Uchaguzi ya Malawi imesema kuwa itatangaza matokeo ya uchaguzi mkuu siku ya Ijumaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi

Hatimaye Tume ya uchaguzi nchini Malawi imeanza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jumanne iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi

Siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu Malawi na matatizo yameshuhudia katika kuhesabu kura, ikiwemo kuharibika kwa mitambo ya hesabu

 

5 years ago

BBCSwahili

Malawi kuingia kwenye duru ya pili ya uchaguzi baada ya matokeo ya mwaka jana kutupiliwa mbali

Rais aliye madarakani Peter Mutharika alitangazwa mshindi Mei 2019 baada ya kupata ushindi mdogo wa asilimia 38.5 ya kura zote zilizokuwa zimepigwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo ya uchaguzi Malawi leo

Tume ya uchaguzi ya Malawi imesema itatangaza matokeo ya uchaguzi leo. Uamuzi huo unakuja baada ya mivutano na mapingamizi kadhaa kwenye mahakama kuu nchini humo. Taarifa kutoka nchini humo zimesema...

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.

Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi

Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani