Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafuriko yetu, ajali pia zetu zitumalize, tuna nini!

>Nilipoandika kwenye safu hii nikiomboleza misiba ya Watanzania wenzetu zaidi ya 1,000 ambao ajali lukuki za barabarani zimekatisha tena bila huruma maisha yao, zimezima ndoto na matumaini yao mengi, sikujua kama misiba mingi zaidi itaendelea kuirarua nchi yetu kwa kiasi hiki cha kusikitisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tuchunge ndimi zetu, tupime maneno yetu, tuwaheshimu wenzetu

NAAMINI nitakuwa sijakosea iwapo nitarejea maoni yangu niliyowahi kuyaanika kupitia makala zangu

Jenerali Ulimwengu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumezifanyia nini familia zetu mwaka 2013?

KWA wale tuliobahatika kuikatiza mikikimikiki ya mwaka 2013 na kufanikiwa kuuona mwaka 2014 tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maana si wote waliofanikiwa kuuona mwaka huu, pia si wote tuliofanikiwa kuingia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Wezi Wa Kazi Zetu Wanatushusha....Shabiki Nini Kifanyike?

Ikiwa ni  siku tatu tu! zimebaki kutoa  movie yake mpya HAKUNA MATATA mwigizaji wa kike wa filam hapa bongo, Salma Jabu Nisha kupitia mtandaoni ameonyesha kuumizwa naswala zima la wezi wa kazi za wasanii hapa nchini na kusema ndio kitu pekee kinachaowarudisha nyuma, katika kuelezea swala hilo akaomba mchango wa mawazo ya jinsi ya kulitatua taizo hili.

Nanukuu;

"Swala la msanii kuibiwa ni swala sugu sana,wewe shabiki yetu tukipotea kwenye tasnia utajiskiaje?

Kikubwa kazi zetu zinaibiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

TUJIFUNZE NINI TOKA MAJIRANI ZETU KUHUSU FAIDA YA KUTANGAZA NCHI?

Habari na picha za Freddy Macha Fahari ya Kenya. Maonesho ya uzuri na urembo Tamasha la “Kenya in the Park”- Jumamosi iliyopita, tarehe 29 Agosti 2015, lilifana sana. Tamasha kama hili limewahi pia kufanywa mara nyingi na Ghana. Faida yake nini? 1. Kutangaza nchi. Kuendeleza wajasiriamali, elimu, wasanii, nk 2. Kukutanisha wananchi. Kuwaunganisha. Urafiki. Uzalendo. Kujuana. NETWORKING, kwa Kimombo. 3. Wageni huwajua na kutaka kuwatembelea. Utalii, kuwekeza na kuunga mkono miradi mbalimbali....

 

10 years ago

Mwananchi

Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!

Unaweza kuwa umekaa mahali fulani, lakini kichwani ukiogopa kusafiri kutokana na mfululizo wa ajali za barabarani zilizotokea hivi karibuni.

 

10 years ago

Vijimambo

MAFURIKO HAYA YA LOWASA YAKIAMISHIWA KWENYE MITO YETU TANZANIA HAKUTAKUWA NA SHIDA YA UMEME TENA

Ni asubuhi tulivu kabisa ya Jumatatu tarehe 10/8/2015.Ni siku ya kihistoria katika Taifa letu.Hii ni kwa sababu Kamanda mpambanaji na asiyechoka mzee wa Maamuzi magumu Edward Ngoyai Lowassa akiwa na mgombea mwenza Juma Duni Haji watachukua rasmi fomu za kugombea Urais kupitia UKAWA katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Timu ya wanahabari wa JF tayari iko hapa buguruni katika ofisi kuu za CUF ili kuwaletea kila kitakachojiri.Tunatarajia maanadamano haya makubwa yataanza saa 3 asubuhi hapa...

 

11 years ago

Mwananchi

Nini hatima ya ajali nchini?

Usafiri wa pikipiki umekuwa maarufu mkoani Iringa na Tanzania kwa jumla. Kwa miaka mitatu hivi sasa, pikipiki zinaonekana kutegemewa na wengi hasa wale ambao wana haraka.

 

9 years ago

Michuzi

dada yetu Joyce aliyepata ajali Mbeya ahamishiwa hospitali, kupelekwa Dar es salaam Alhamisi kwa matibabu

Na Deo Kakuru, Mbeya
Ndugu Wasamaria wema na wadau,Napenda kutumia fursa hii kukufahamisheni  kuwa hatimaye dada yetu Joyce Mwambepo ametoka nyumbani yupo hospitali ya rufaa Mbeya chini ya uangalizi wa Dr. Mboma akifanyiwa mazoezi ya viungo kabla ya kuelekea hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa vipimo na matibabu.  Baada ya michango mbalimbali ambayo wasamaria wema wamekuwa wakichangia toka ndani na nje ya nchi, hatimaye Dada Joyce  na mimi tutasafiri pamoja Alhamisi ijayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani