Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!

Unaweza kuwa umekaa mahali fulani, lakini kichwani ukiogopa kusafiri kutokana na mfululizo wa ajali za barabarani zilizotokea hivi karibuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kombe la Kagame darasa tosha kwa timu zetu

>Mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Kagame ambayo yamekuwa yakiendelea katika ardhi ya Tanzania yameingia hatua ya robo fainali.

 

11 years ago

Mwananchi

Barabara zetu siyo rafiki kwa mazoezi

Ni hatari na unaweza kukaribisha kifo hivi hivi wakati ukiwa unafanya mazoezi ya kukimbia pembezoni mwa barabara mbalimbali za hapa nchini hasa za jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali

 Wananchi wakiwa wamepanga mawe na miti kuziba barabara ya Bagamoyo Road maeneo ya Kawe Bondeni jijini Dar es salaam leo ili kushinikiza kuwekewa matuta ya barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo. Hadi tunaruka hewani Jeshi la Polisi lilikuwa limeshawatawanya wananchi hao na kuondoa vizuizi hivyo baada ya kusababisha foleni ya takriban saa moja hivi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yetu, ajali pia zetu zitumalize, tuna nini!

>Nilipoandika kwenye safu hii nikiomboleza misiba ya Watanzania wenzetu zaidi ya 1,000 ambao ajali lukuki za barabarani zimekatisha tena bila huruma maisha yao, zimezima ndoto na matumaini yao mengi, sikujua kama misiba mingi zaidi itaendelea kuirarua nchi yetu kwa kiasi hiki cha kusikitisha.

 

10 years ago

GPL

MADEREVA WA DALADALA MISUNGWI WAZIBA BARABARA

Watu wanaodhaniwa kuwa ni madereva wakiwa wameziba barabara ya Mwanza-Dar. Madereva hao wakiendelea na mgomo.…

 

11 years ago

Habarileo

Madereva wa bodaboda watatu wafa kwa ajali

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius WamburaMADEREVA watatu wa bodaboda wamekufa katika matukio matatu tofauti yaliyohusisha ajali za barabarani.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wataka maamuzi magumu kukokesha ajali

CHAMA cha Wafanyakazi wa Usafirishaji kwa Njia ya Barabara Tanzania (TAROTWU) kimesema matatizo yanayotokea sasa, zikiwemo ajali za barabarani ni sehemu ya changamoto ambazo zinatakiwa kuchukuliwa maamuzi magumu na Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

Utii wa Sheria kwa Madereva utapunguza ajali za Barabarani

Madereva hapa nchini wametakiwa kufuata sheria ya matumizi bora ya barabara ili kuepusha madhara yanayosababisha kupoteza maisha ya watu,ulemavu wa kudumu na upotevu wa mali.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani inayofanyika kitaifa mkoani Arusha,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya uagizaji wa magari nchini ya Be Forward Tanzania,Daniel Mtaalam amesema njia hiyo ndio suluhu za ajali zinazotokea mara kwa mara.
Amesema wao kama wadau wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani