Barabara zetu siyo rafiki kwa mazoezi
Ni hatari na unaweza kukaribisha kifo hivi hivi wakati ukiwa unafanya mazoezi ya kukimbia pembezoni mwa barabara mbalimbali za hapa nchini hasa za jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!
Unaweza kuwa umekaa mahali fulani, lakini kichwani ukiogopa kusafiri kutokana na mfululizo wa ajali za barabarani zilizotokea hivi karibuni.
11 years ago
Michuzi30 Apr
NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
Na John Gagarini, Kibaha
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...
11 years ago
Michuzi30 Apr
AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
Na John Gagarini, Kibaha
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5 asubuhi...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Kombe la Kagame darasa tosha kwa timu zetu
>Mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Kagame ambayo yamekuwa yakiendelea katika ardhi ya Tanzania yameingia hatua ya robo fainali.
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira
Rwanda yazindua magari yanayotumia umeme ambayo ni rafiki kwa mazingira ya nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Kasisi afariki ghafla kwa 'rafiki' yake
Kasisi mmoja mashuhuri nchini Kenya alizimia na kufariki katika hali ya kutatanisha nyumbani kwa mwanamke ambaye sie mke wake.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mazoezi kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji
Wanawake wengi wanaojifungua kwa upasuaji, hukumbana na changamoto kubwa ya kurudisha miili yao katika hali ya kawaida. Hali hii husababishwa na muda wa kuuguza kidonda na hofu ya kujitonesha
10 years ago
VijimamboKWA WALE TULIEKULIA VIJIJI VYA UJAMAA HIZI NDIYO ZETU
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania