Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barabara zetu siyo rafiki kwa mazoezi

Ni hatari na unaweza kukaribisha kifo hivi hivi wakati ukiwa unafanya mazoezi ya kukimbia pembezoni mwa barabara mbalimbali za hapa nchini hasa za jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!

Unaweza kuwa umekaa mahali fulani, lakini kichwani ukiogopa kusafiri kutokana na mfululizo wa ajali za barabarani zilizotokea hivi karibuni.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA

Na John Gagarini, Kibaha 
 KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...

 

11 years ago

Michuzi

AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA

Na John Gagarini, Kibaha  KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.  Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.  Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5 asubuhi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kombe la Kagame darasa tosha kwa timu zetu

>Mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Kagame ambayo yamekuwa yakiendelea katika ardhi ya Tanzania yameingia hatua ya robo fainali.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

5 years ago

BBCSwahili

Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira

Rwanda yazindua magari yanayotumia umeme ambayo ni rafiki kwa mazingira ya nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki ghafla kwa 'rafiki' yake

Kasisi mmoja mashuhuri nchini Kenya alizimia na kufariki katika hali ya kutatanisha nyumbani kwa mwanamke ambaye sie mke wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mazoezi kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji

Wanawake wengi wanaojifungua kwa upasuaji, hukumbana na changamoto kubwa ya kurudisha miili yao katika hali ya kawaida. Hali hii husababishwa na muda wa kuuguza kidonda na hofu ya kujitonesha

 

10 years ago

Vijimambo

KWA WALE TULIEKULIA VIJIJI VYA UJAMAA HIZI NDIYO ZETU

Kwani hata baiskeli kwetu ilikuwa ni shida kuweza kuruhusiwa kuendesha basi tulijiliwaza kupitia humu kiroho safi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani