Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utii wa Sheria kwa Madereva utapunguza ajali za Barabarani

Madereva hapa nchini wametakiwa kufuata sheria ya matumizi bora ya barabara ili kuepusha madhara yanayosababisha kupoteza maisha ya watu,ulemavu wa kudumu na upotevu wa mali.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani inayofanyika kitaifa mkoani Arusha,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya uagizaji wa magari nchini ya Be Forward Tanzania,Daniel Mtaalam amesema njia hiyo ndio suluhu za ajali zinazotokea mara kwa mara.
Amesema wao kama wadau wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MSONGO WA MAWAZO, CHANGAMOTO KWA MADEREVA JUU YA COVID-19, UNAVYOCHANGIA AJALI ZA BARABARANI


Vero Ignatus.

Msongo wa mawazo kwa madereva wa safari ndefu ikiwemo malori na mabasi,kutokana najanga la covid-19 umetajwa kuwa chanzo cha ajali za barabarani.

Janga la Corona lililongia hapa nchini mapema mwezi wa tatu mwaka 2020,limevuruga halihaisi ya utendaji kazi,limepunguza uzalishaji hivyo madereva wengi kukosa muda wa kupumzika,hujawa na uchovu,kutokula mlo kamili,pamoja na uchovu wa kuendesha gari kwa muda mrefu,yote haya yana,unaosababisha kinga zao za mwili kushuka na kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Kamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga ( aliyesimama) akifafanua kwa ufasaha vifungu vya sheria za usalama barabarani na miiko ya maadili ya udereva, wakati akifungua warsha ya mafunzo kwa maderva wa kampuni ya UDA jijini Dar es Salaam leo. Aliwafunda madereva hao kuwa wasafi, lugha nzuri na kutabasamu kwa abiria ambao ni wateja wao.Wengine pichani ni Mwenyekiti wa makampuni ya Simon Group,Robert Kisena (kulia) na David Mziray kutoka SUMATRA. Mwenyekiti wa makampuni...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani

 Waziri wa Mambo ya Ndani  Mh.Mathias Chikawe (kushoto)  akishuhudia  dereva wa pikipiki  akivalishwa  pete zenye ujumbe wa “Wait to Send” wakati  wa  uzinduzi wa kampeni ya usalama barabarani uliofanyika eneo la Mwenge makutano ya barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi jijini  Dar es Salaam, uzinduzi huo uliambatana na  upimaji wa kiwango cha pombe mwilini kwa madereva na ugawaji wa pete maalumu za kuwakumbusha madereva kuacha kutumia simu za mkononi wanapokuwa wanaendesha vyombo vya...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI‏

Waziri wa Mambo ya Ndani  Mh.Mathias Chikawe (watatu kutoka kulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya usalama barabarani uliofanyika eneo la Mwenge makutano ya barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi jijini  Dar es Salaam, uzinduzi huo uliambatana na upimaji wa kiwango cha pombe mwilini kwa madereva na ugawaji wa pete maalumu za kuwakumbusha madereva kuacha kutumia simu za mkononi wanapokuwa wanaendesha...

 

11 years ago

GPL

MADEREVA WATWANGANA KWA KUTOELEWANA BARABARANI

Madereva Juma na John wakichapana makonde hadharani. …Akiokota jiwe kumshushia kipigo John aliyedaiwa kutaka kusababisha ajali. Juma (kulia) akirusha matusi…

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Utii wa sheria ni jukumu letu sote

Utii wa sheria ni jambo muhimu katika jamii. Sheria zimekuwapo tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa lakumbusha utii wa sheria na mamlaka ya nchi

Askofu Gervas NyaisongaASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma Mhashamu Gervas Nyaisonga  amewataka wananchi kutii sheria zilizowekwa na mamlaka ya nchi.

 

11 years ago

GPL

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO

Dereva bodaboda akiwa mikononi mwa polisi baada ya kuwakimbia na baadaye kunaswa. Dereva huyo akiwa chini ya ulinzi. DOGO mmoja ambaye ni dereva wa bodaboda amejikuta akimaliza siku vibaya baada ya kukiuka sheria za usalama barabarani na kuwakimbia polisi ambao walimtolea uvivu kwa kumkimbiza na baadaye kufanikiwa kumtia mikononi. (Picha zote na Gabriel… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani