Utii wa Sheria kwa Madereva utapunguza ajali za Barabarani
![](http://3.bp.blogspot.com/-HpeX2GVjkzI/VCPfKgFyH9I/AAAAAAAGlq0/QwtLJIraO88/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
Madereva hapa nchini wametakiwa kufuata sheria ya matumizi bora ya barabara ili kuepusha madhara yanayosababisha kupoteza maisha ya watu,ulemavu wa kudumu na upotevu wa mali.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani inayofanyika kitaifa mkoani Arusha,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya uagizaji wa magari nchini ya Be Forward Tanzania,Daniel Mtaalam amesema njia hiyo ndio suluhu za ajali zinazotokea mara kwa mara.
Amesema wao kama wadau wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0VL9qN8ye4c/XveK1H4-3YI/AAAAAAALvro/2EA0VKB_CKQpmZk-pDIUAsjGKS50Z_0ogCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0124%2B%25282%2529.jpg)
MSONGO WA MAWAZO, CHANGAMOTO KWA MADEREVA JUU YA COVID-19, UNAVYOCHANGIA AJALI ZA BARABARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VL9qN8ye4c/XveK1H4-3YI/AAAAAAALvro/2EA0VKB_CKQpmZk-pDIUAsjGKS50Z_0ogCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200612-WA0124%2B%25282%2529.jpg)
Msongo wa mawazo kwa madereva wa safari ndefu ikiwemo malori na mabasi,kutokana najanga la covid-19 umetajwa kuwa chanzo cha ajali za barabarani.
Janga la Corona lililongia hapa nchini mapema mwezi wa tatu mwaka 2020,limevuruga halihaisi ya utendaji kazi,limepunguza uzalishaji hivyo madereva wengi kukosa muda wa kupumzika,hujawa na uchovu,kutokula mlo kamili,pamoja na uchovu wa kuendesha gari kwa muda mrefu,yote haya yana,unaosababisha kinga zao za mwili kushuka na kuwa...
11 years ago
MichuziKamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani
![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
11 years ago
GPLMADEREVA WATWANGANA KWA KUTOELEWANA BARABARANI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JfVNsmuxaGw/Uwp1L3igGrI/AAAAAAAFPLI/OgF3oLDRMAU/s72-c/IMG_1823.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Utii wa sheria ni jukumu letu sote
11 years ago
Habarileo27 Dec
Kanisa lakumbusha utii wa sheria na mamlaka ya nchi
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma Mhashamu Gervas Nyaisonga amewataka wananchi kutii sheria zilizowekwa na mamlaka ya nchi.
11 years ago
GPLUTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO