Tuchunge ndimi zetu, tupime maneno yetu, tuwaheshimu wenzetu
NAAMINI nitakuwa sijakosea iwapo nitarejea maoni yangu niliyowahi kuyaanika kupitia makala zangu
Jenerali Ulimwengu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq4lzs9ghSs/U-TInuDlO7I/AAAAAAAF96A/99zIjIxmoOw/s72-c/unnamed.png)
MGOGORO WA ZIWA NYASA: WAKATI WENZETU MALAWI WAKIPAMBANA KWA TEKNOHAMA SISI WATANZANIA BADO TUNAPAMBANA KWA MANENO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq4lzs9ghSs/U-TInuDlO7I/AAAAAAAF96A/99zIjIxmoOw/s1600/unnamed.png)
Google Map ni mtandao mkubwa ambo unaonyesha Ramani ya dunia nzima kwa kutumia picha ya satellite na watu wengi hususani watalii hutumia mtandao huu kabla ya kwenda mahali husika . Lakini mtandao huu huitaji watu kujaza taarifa zaidi kama kuonyesha mipaka ya...
10 years ago
Mwananchi18 May
Mafuriko yetu, ajali pia zetu zitumalize, tuna nini!
>Nilipoandika kwenye safu hii nikiomboleza misiba ya Watanzania wenzetu zaidi ya 1,000 ambao ajali lukuki za barabarani zimekatisha tena bila huruma maisha yao, zimezima ndoto na matumaini yao mengi, sikujua kama misiba mingi zaidi itaendelea kuirarua nchi yetu kwa kiasi hiki cha kusikitisha.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Tuwaheshimu wanawake wa TANU
YA kale ni dhahabu. Ukiona kinaelea kimeundwa! Usemi huu umekuwa ukitumika katika masuala mbalimbali. Na leo nimependa nianze na maneno haya katika makala yangu. Katika safu yangu hii, nimewahi kuandika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VxRaaKVBD6A/Ux111eb3R5I/AAAAAAAFSjI/Hpjg0xIclxY/s72-c/unnamed+(67).jpg)
TUPIME NA KUJICHUNGUZA SARATANI - TBCF
![](http://4.bp.blogspot.com/-VxRaaKVBD6A/Ux111eb3R5I/AAAAAAAFSjI/Hpjg0xIclxY/s1600/unnamed+(67).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-v*ndOXPjSzjROoMJ7vYM-4i2DVWZ2HAsEftLGmhGcu6W3Qlq-dEosWiX9wdq94mBZWGZelkzW*rllTJ0jHfuXI/saby.jpg)
SABBY: WASANII TUPIME HIV
Na Imelda Mtema
MSANII anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amewaasa wasanii wenzake kujali afya zao kwa kupenda kupima ugonjwa wa Ukimwi mara kwa mara. Msanii anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’. Akizungumza na mwandishi wetu, msanii huyo alisema kuwa kungekuwa na taratibu kabisa za kupima ugonjwa huo si kwa nia mbaya ili kuweza...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
SAFU YA ELIMU&MALEZI: Wazazi tuchunge uhuru tunaowapa watoto
>Katika mfululizo wa makala za malezi kwa watoto nimekuwa nikisisitiza kuwa ni muhimu watoto wapewe fursa ya kushiriki katika masuala ya kifamilia.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Ndimi zilizojeruhi ndani ya Bunge Maalumu Dodoma
Wakati mjadala kuhusu sura ya kwanza na sita kwenye Bunge Maalumu ukielekea ukingoni, baadhi ya wajumbe wametoleana kauli ambazo zimesababisha kutoelewana.
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...
10 years ago
Bongo524 Nov
Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni
Baada ya maneno kusemwa juu ya staa wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na binti mrembo wa Uganda, Zari ‘the boss lady’ kuwa huenda wakawa na kitu kinaendelea zaidi ya kazi, picha ya wawili hao wakila ‘denda’ imesambaa mtandaoni. Zari The boss lady Picha ya Diamond Platnumz na Zari iliyosambaa mtandaoni, huku Zari akiwa amevaa kofia […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania