Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SABBY: WASANII TUPIME HIV

Na Imelda Mtema
MSANII anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amewaasa wasanii wenzake kujali afya zao kwa kupenda kupima ugonjwa wa Ukimwi mara kwa mara. Msanii anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’. Akizungumza na mwandishi wetu, msanii huyo alisema kuwa kungekuwa na taratibu kabisa za kupima ugonjwa huo si kwa nia mbaya ili kuweza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TUPIME NA KUJICHUNGUZA SARATANI - TBCF

Mkurugenzi wa taasisi ya saratani ya matiti (TBCF), Angela Kuzilwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maradhi ya saratani ya matiti na shingo ya kizazi pamoja na umuhimu wa watu (wake kwa waume) kupima mara kwa mara. Kulia ni Grolia Kida ambaye ni mhasibu na  kushoto ni Keziah Makoyo ambaye ni Mkurugenzi wa mahusiano ya nje ya Taasisi hiyo.

 

5 years ago

Hiptoro

Cure for HIV/AIDS: Monthly Antiretrovirals Injection can now Treat HIV...

Cure for HIV/AIDS: Monthly Antiretrovirals Injection can now Treat HIV...  Hiptoro

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuchunge ndimi zetu, tupime maneno yetu, tuwaheshimu wenzetu

NAAMINI nitakuwa sijakosea iwapo nitarejea maoni yangu niliyowahi kuyaanika kupitia makala zangu

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

GPL

SABBY, CYRILL WANASWA!

Imelda Mtema/mchanganyiko
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi. Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ wakipozi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sabby Ajisifu Kwa Mahaba

MSANII anayechipukia kwa kasi katika anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amedai ni mtaalamu zaidi pale linapokuja suala la mahaba.

Sabby alisema kuwa anajiamini mno katika hilo kwani ni jukumu la mwanamke kumpa mapenzi mazito mtu yule anayempenda kwa dhati.

 “Sio kwamba najisifu, lakini ukweli lazima katika mahaba uwe mjuzi wa hayo mambo ili hata mumeo au mpenzi wako asitoke nje kabisa,” alisema. Kuhusu kazi zake za filamu, alisema ataendelea kuhakikisha anatesa zaidi ili...

 

10 years ago

GPL

SABBY: NATAMANI PENZI LA DIAMOND

Hamida Hassan Staa wa filamu na muziki, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ hivi karibuni amefunguka siri iliyokuwa kwenye uvungu wa moyo wake kwamba analitamani sana penzi la mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ila anaumia kwa kuwa anajua amechelewa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Pa0bB8

 

9 years ago

GPL

SABBY ANGEL APIGA ZA NUSU UTUPU

MSANII wa filamu na muziki, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amepiga picha zinazomuacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi (nusu utupu) huku wengine wakimfananisha na Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1PzPLKK   

 

10 years ago

TheCitizen

Sabby Angel: Her Life, Career and new movie

>Her artistic career started in 2009. She started as a  young singer who drew inspiration from the likes of  Mariah Carey and Whitney Houston.

 

10 years ago

GPL

SABBY: BOB JUNIOR AMENIBADILISHA MAVAZI

Na Imelda Mtema
MSANII anayekuja kwa kasi katika tasnia ya Filamu Bongo, Sarbrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kuwa  mwanamuziki, Rummy Nanji ‘Bob Junior’ ambaye kwa hivi sasa ndiye mpenzi wake amembadilisha mavazi yake aliyokuwa akivaa awali kabla hawajawa pamoja. Msanii anayekuja kwa kasi katika tasnia ya Filamu Bongo, Sarbrina Omary ‘Sabby Angel’ akipozi. Akizungumza na Amani,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani