Sabby Ajisifu Kwa Mahaba
MSANII anayechipukia kwa kasi katika anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amedai ni mtaalamu zaidi pale linapokuja suala la mahaba.
Sabby alisema kuwa anajiamini mno katika hilo kwani ni jukumu la mwanamke kumpa mapenzi mazito mtu yule anayempenda kwa dhati.
“Sio kwamba najisifu, lakini ukweli lazima katika mahaba uwe mjuzi wa hayo mambo ili hata mumeo au mpenzi wako asitoke nje kabisa,” alisema. Kuhusu kazi zake za filamu, alisema ataendelea kuhakikisha anatesa zaidi ili...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSABBY AMFUNIKA MKE WA BOB JUNIOR KWA MAHABA!
9 years ago
Bongo507 Sep
Nuh Mziwanda: Sioni tatizo kwa msanii kuonesha mahaba kwa chama anachokipenda
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Mikoa ya kusini na mahaba niue kwa CCM
WIKI iliyopita nilirejea baada ya kufanya safari ya mikoa ya kusini.
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLWEMA, DIAMOND WAZINDUA GARI KWA MAHABA
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu
MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLWEMA SEPETU AELEZA ‘MAHABA’ YAKE KWA MAKAMBA!
10 years ago
GPLSABBY, CYRILL WANASWA!
10 years ago
GPLSABBY: WASANII TUPIME HIV
10 years ago
GPLSABBY: NATAMANI PENZI LA DIAMOND