TUPIME NA KUJICHUNGUZA SARATANI - TBCF
![](http://4.bp.blogspot.com/-VxRaaKVBD6A/Ux111eb3R5I/AAAAAAAFSjI/Hpjg0xIclxY/s72-c/unnamed+(67).jpg)
Mkurugenzi wa taasisi ya saratani ya matiti (TBCF), Angela Kuzilwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maradhi ya saratani ya matiti na shingo ya kizazi pamoja na umuhimu wa watu (wake kwa waume) kupima mara kwa mara. Kulia ni Grolia Kida ambaye ni mhasibu na kushoto ni Keziah Makoyo ambaye ni Mkurugenzi wa mahusiano ya nje ya Taasisi hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
TBCF na mkakati wa mapambano ya kuzuia saratani ya matiti na mlango wa kizazi nchini
Hospitali ya Saratani ya Ocean Road.
Na Beatrice Lyimo, Maelezo.
Takribani watu 40,000 nchini wakiwemo wanawake na wanaume wanapata ugonjwa wa saratani kila mwaka, ambapo asilimia 12 kati yao wana saratani ya matiti huku wengine wakiwa na saratani ya mlango wa kizazi.
Takwimu toka Hospitali ya Saratani ya Ocean Road zinaonyesha kuwa kati ya wagonjwa hao, idadi ya wanawake wanaopata ugonjwa huo kila mwaka ni zaidi ya 3,000 ambapo idadi hiyo ni sawa na asilimia 10 ya wanaofika kwa ajili ya...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Sakata la Flora Mbasha linatulazimisha kujiuliza maswali na kujichunguza
SUALA la Flora Mbasha na mume wake lina sehemu nyingi ambazo unaweza kuziangalia na kutolea maoni. Hata hivyo, naamini kubwa ni tatu ambazo ziko juu na rahisi kuonekana. Suala la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-v*ndOXPjSzjROoMJ7vYM-4i2DVWZ2HAsEftLGmhGcu6W3Qlq-dEosWiX9wdq94mBZWGZelkzW*rllTJ0jHfuXI/saby.jpg)
SABBY: WASANII TUPIME HIV
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rh9l6RBq8Qw/VcEQRwtrxVI/AAAAAAAACro/LMIdyr8e-yI/s72-c/11855610_833507293414337_4433199489430376421_n.jpg)
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Tuchunge ndimi zetu, tupime maneno yetu, tuwaheshimu wenzetu
NAAMINI nitakuwa sijakosea iwapo nitarejea maoni yangu niliyowahi kuyaanika kupitia makala zangu
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)