Tuwaheshimu wanawake wa TANU
YA kale ni dhahabu. Ukiona kinaelea kimeundwa! Usemi huu umekuwa ukitumika katika masuala mbalimbali. Na leo nimependa nianze na maneno haya katika makala yangu. Katika safu yangu hii, nimewahi kuandika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wako wapi wanawake shupavu wa TANU?
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Tuchunge ndimi zetu, tupime maneno yetu, tuwaheshimu wenzetu
NAAMINI nitakuwa sijakosea iwapo nitarejea maoni yangu niliyowahi kuyaanika kupitia makala zangu
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
VijimamboMUASISI WA TANU AAGWA MONDULI
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.
Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Sam Nujoma: Rais aliyeokolewa na wana-TANU
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sam Nujoma: Shujaa aliyeokolewa na wana-TANU 2
5 years ago
The Citizen Daily10 Mar
Elections in Tanzania: Tanu wins first general election
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
NAPE: CCM haiwezi poteza historia ya TANU
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akizungumza kwenye ofisi ya gazeti la Jambo leo ikiwa sehemu ya ziara yake kwenye vyombo vya habari.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Alisema...
10 years ago
VijimamboCCM YABOMOA JENGO LA TANU JIJINI DAR ES SALAAM
JENGO la ofisi ndogo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Lumumba Dar es Salaam ambako ndiko kilizaliwa Chama cha Tanu limebomolewa ili kupisha ujenzi wa jengo jipya la chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema jengo hilo...