Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuwaheshimu wanawake wa TANU

YA kale ni dhahabu. Ukiona kinaelea kimeundwa! Usemi huu umekuwa ukitumika katika masuala mbalimbali. Na leo nimependa nianze na maneno haya katika makala yangu. Katika safu yangu hii, nimewahi kuandika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wako wapi wanawake shupavu wa TANU?

>Hivi karibuni kulikuwa na maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika yaliyohitimishwa Desemba 9 katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuchunge ndimi zetu, tupime maneno yetu, tuwaheshimu wenzetu

NAAMINI nitakuwa sijakosea iwapo nitarejea maoni yangu niliyowahi kuyaanika kupitia makala zangu

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Vijimambo

MUASISI WA TANU AAGWA MONDULI

Waziri mkuu wa zamani mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa na mkewe mama Regina Lowassa wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu mzee Lazaro ole Ngoilenya Laizer aliyefariki juzi na kuzikwa leo Alhamis kijijini kwake Ngarash Monduli.Mzee Ole Ngoilenya ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 120 alikuwa muasisi na kiongozi wa kwanza wa Chama Cha TAA na baadaye TANU wilayani Monduli wakati huo ikijulikana kama Maasai District.Pia ndiye alikuwa chachu kwa Mh Lowassa na wanasiasa wengine...

 

9 years ago

Mtanzania

Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu

IMG_9794NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.

Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...

 

10 years ago

Mwananchi

Sam Nujoma: Rais aliyeokolewa na wana-TANU

Samuel Daniel Shafiishuna Nujoma, au Sam Nujoma kama alivyokuwa akijulikana na wengi, ni rais wa kwanza wa Namibia kuanzia mwaka 1990 hadi 2005.

 

10 years ago

Mwananchi

Sam Nujoma: Shujaa aliyeokolewa na wana-TANU 2

Kama tulivyoona wiki jana, Sam Nujoma, alikuwa Rais wa kwanza wa Namibia huru ambaye baadaye aliamua kung’atuka kwa hairi yake na kuacha madaraka yake kwa Hifikepunye Pohamba.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Elections in Tanzania: Tanu wins first general election

Elections in Tanzania: Tanu wins first general election  The Citizen Daily

 

10 years ago

Dewji Blog

NAPE: CCM haiwezi poteza historia ya TANU

01

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akizungumza kwenye ofisi ya gazeti la Jambo leo ikiwa sehemu ya ziara yake kwenye vyombo vya habari.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa  kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.

Alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM YABOMOA JENGO LA TANU JIJINI DAR ES SALAAM

Wananchi wakiangalia jengo la ofisi ndogo ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) la Lumumba, ambapo kilizaliwa chama cha Tanu lililobomolewa kupisha ujenzi wa jengo jipya la chama hicho Dar es Salaam janaDotto Mwaibale
JENGO la ofisi ndogo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Lumumba Dar es Salaam ambako ndiko kilizaliwa Chama cha Tanu limebomolewa ili kupisha ujenzi wa jengo jipya la chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema jengo hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani