NAPE: CCM haiwezi poteza historia ya TANU
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa akizungumza kwenye ofisi ya gazeti la Jambo leo ikiwa sehemu ya ziara yake kwenye vyombo vya habari.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Alisema...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Feb
NAPE: CCM HAIWEZI NA WALA HAINA MPANGO WA KUPOTEZA HISTORIA YA MAHALA ILIPOZALIWA TANU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-XPCe2YK0BSs%2FVNYp3jgunxI%2FAAAAAAAAWxU%2FSlLwmqpvgvc%2Fs1600%2F01.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Alisema kumekuwa na...
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.
Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...
10 years ago
VijimamboCCM YABOMOA JENGO LA TANU JIJINI DAR ES SALAAM
JENGO la ofisi ndogo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Lumumba Dar es Salaam ambako ndiko kilizaliwa Chama cha Tanu limebomolewa ili kupisha ujenzi wa jengo jipya la chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema jengo hilo...
10 years ago
GPLCCM YABOMOA JENGO LA TANU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
CCM haiwezi kumcheka Lowassa
HAYATI baba wa Taifa, Julius Nyerere, alijitoa muhanga ili kupigania uhuru kutoka kwa wakoloni wa Uingereza waliokuwa wakitawala Tanganyika. Nyerere aliamua kuiacha kazi yake ya ualimu iliyokuwa ikimpatia mshahara na...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
CCM haiwezi kuteua mgombea urais muadilifu
11 years ago
Mwananchi17 May
Ukawa: CCM haiwezi kuleta Katiba Mpya
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s72-c/1.jpg)
KINANA : CCM HAIWEZI KULAUMIWA KWA MAKOSA YASIYO YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-18fcIkhbv7c/VHTYpv88f6I/AAAAAAAAT5E/xyLjUuiTfxg/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HjHxkHe3aoM/VHTYuzD8aAI/AAAAAAAAT5o/Aj1b_FAZIrU/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOT28tU3BQo/VHTYv3icWQI/AAAAAAAAT50/y3KpwcVMv44/s1600/5.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza
Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]
The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.