Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza

Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]

The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Zitto: CCM haibadiliki hata waje malaika

zittoNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani.

Akizungumza jana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kituo cha basi Tabata Segerea, Zitto alisema matatizo mengi ya nchi yamesababishwa na sera mbovu za CCM ambazo baadhi ya wagombea wake ndio waliokuwa wakizitunga, kuzitetea na kuzitekeleza.

“Kuna ambao wamekuwa watawala tangu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto Kabwe asema ACT Wazalendo haina hata chembe ya ufisadi, yawataka wananchi kukichagua

ZITO

Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Peoples Club Mjini Singida.

MGHWIRA

Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia ACT, Anna Mghwira.

MKUU MSAFARA

Mratibu wa ziara za viongozi wa ACT nchini Karama Kaila.

MKITI

Mwenyekiti wa ACT Mkoa wa Singida.

KATIBU

Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Singida akizungumza kwenye mkutano huo.

BABA

Zitto Kabwe akisalimiana na baba mzazi wa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini Mzee Mghwira.

WANANCHI

 

11 years ago

Habarileo

CCM Kigoma wamuunga mkono Zitto Kabwe

Zitto KabweCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kigoma Mjini kimeunga mkono hatua ya Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa madaraka, Zitto Kabwe kusimamia demokrasia na matumizi sahihi ya fedha katika chama chake.

 

9 years ago

Bongo5

Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu

Viongozi wazuri huweza kushughulikia mabadiliko vizuri, iwe kwenye ngazi ya kisiasa, kijamii na hata kibiashara. Rais Jonathan anaweza akawa mtu wa kuigwa kwenye siasa za Nigeria kitu ambacho mataifa mengi ya Afrika wanashindwa kufanya na hata yale ya Mashariki ya Kati. Kuna viongozi wao wanadhani wao ndio kila kitu au miungu wadogo lakini ukweli wa […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nakuhurumia Zitto Kabwe

Kwa wasomaji ambao hawakubahatika kuisoma makala hii, basi watambue kuwa iliandikwa na SAMSON MWIGAMBA Desemba 9, 2009. Wakati huo Mwigamba alikuwa na mtazamo huu kuhusu Zitto. Lakini ni Mwigamba huyo...

 

10 years ago

IPPmedia

I'm still MP, declares Zitto Kabwe


IPPmedia
I'm still MP, declares Zitto Kabwe
IPPmedia
Kigoma North MP Zitto Kabwe, who was as of yesterday stripped of party membership by Chadema's Central Committee (CCC) told reporters in Dar es Salaam yesterday that he is also still chairperson of the Public Accounts Committee (PAC). “As you can see ...
Bunge Speaker to determine Zitto's fateDaily News
Zitto Loses Court Battle, Axed From ChademaAllAfrica.com

all 9

 

9 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday Zitto Kabwe!

zitozuberikabwe

Hey there! Sending birthday wishes your way for a beautiful year ahead. May your lucky stars continue to shine and make all of your dreams come true. Enjoy your day with all of the pleasures it has in store…….HAPPY BIRTHDAY OUR DEAR FRIEND ZITTO KABWE!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu amshukia Zitto Kabwe

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa watu wanaosema kwamba maamuzi ya Kamati Kuu ya chama hicho kuwavua nafasi za uongozi makada wake watatu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Zitto Kabwe afariki

BUNGE Maalum la Katiba limepata pigo baada ya kuondokewa na mjumbe wake, Shida Salum (64), ambaye ameugua kwa muda mrefu. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani