Zitto: CCM haibadiliki hata waje malaika
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani.
Akizungumza jana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kituo cha basi Tabata Segerea, Zitto alisema matatizo mengi ya nchi yamesababishwa na sera mbovu za CCM ambazo baadhi ya wagombea wake ndio waliokuwa wakizitunga, kuzitetea na kuzitekeleza.
“Kuna ambao wamekuwa watawala tangu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza
Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]
The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi09 Feb
MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Zitto Kabwe asema ACT Wazalendo haina hata chembe ya ufisadi, yawataka wananchi kukichagua
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Peoples Club Mjini Singida.
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia ACT, Anna Mghwira.
Mratibu wa ziara za viongozi wa ACT nchini Karama Kaila.
Mwenyekiti wa ACT Mkoa wa Singida.
Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Singida akizungumza kwenye mkutano huo.
Zitto Kabwe akisalimiana na baba mzazi wa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini Mzee Mghwira.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
HONDOHONDO : Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
10 years ago
TheCitizen21 Jun
Zitto says CCM lacks in leaders
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Zitto alia rafu za CCM majimboni
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Zitto aungana na CCM kutaka kura ya wazi
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ameunga mkono msimamo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kura ya wazi katika kufanya uamuzi....
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10