HONDOHONDO : Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa
je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
HONDOHONDO :Tunapamba hata wasiopambika
10 years ago
Mwananchi03 May
HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini
10 years ago
Mwananchi06 Jul
HONDOHONDO : CCM yasubiriwa Dodoma kukata jongoo kwa meno
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
ACT inaweza ikafa kama CCJ
SIASA ni mchezo mchafu. Kauli hii huwa inatumiwa sana na watu wengi wanapozungumzia mambo ya kisiasa! Kismsingi siasa ndiyo inayoongoza serikali ya taifa lolote. Mwaka 1992, Sheria ya kuanzishwa kwa vyama...
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Zitto: CCM haibadiliki hata waje malaika
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani.
Akizungumza jana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kituo cha basi Tabata Segerea, Zitto alisema matatizo mengi ya nchi yamesababishwa na sera mbovu za CCM ambazo baadhi ya wagombea wake ndio waliokuwa wakizitunga, kuzitetea na kuzitekeleza.
“Kuna ambao wamekuwa watawala tangu...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza
Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]
The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana