Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONDOHONDO : Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa

je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO :Tunapamba hata wasiopambika

Hebu niwakumbushe. Mwaka 1981 iliyokuwa Soviet ilipata shida kwenye Umoja wa Mataifa (UN) kuamua nani awe katibu mkuu wa chombo hicho, kati ya mwanadiplomasia wa Austria, Kurt Waldheim aliyekuwa anawania kipindi cha tatu na mwanadiplomasia wa Tanzania, Dk Salim Ahmed Salim.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini

>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaah”.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : CCM yasubiriwa Dodoma kukata jongoo kwa meno

Wiki ijayo ni ya CCM “kukata jongoo kwa meno” ili kuzima makundi ya watu yanayofuatafuata wanasiasa fulani wanaojiita waheshimiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ACT inaweza ikafa kama CCJ

SIASA ni mchezo mchafu. Kauli hii huwa inatumiwa sana na watu wengi wanapozungumzia mambo ya kisiasa! Kismsingi siasa ndiyo inayoongoza serikali ya taifa lolote. Mwaka 1992, Sheria ya kuanzishwa kwa vyama...

 

9 years ago

Mtanzania

Zitto: CCM haibadiliki hata waje malaika

zittoNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani.

Akizungumza jana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kituo cha basi Tabata Segerea, Zitto alisema matatizo mengi ya nchi yamesababishwa na sera mbovu za CCM ambazo baadhi ya wagombea wake ndio waliokuwa wakizitunga, kuzitetea na kuzitekeleza.

“Kuna ambao wamekuwa watawala tangu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema Katiba Inayopendekezwa imebeba mambo yote muhimu na hata kama yakifanyika maandamano nchi nzima haitabadilishwa hata nukta.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono

CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza

Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]

The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana

Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani