Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini

>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaah”.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani

 MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja.Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu.Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na shabiki kabla ya kuanza kurushiana makonde mazito. Hata hivyo wachezaji wa Maccabi walifanikiwa kutoka uwanjani bila kujeruhiwa. Tukio...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu wamkumbuka Kobe Bryant kama mtu aliyewapa hamasa

Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu kutoka maeneo tofauti ya dunia wanatuambia ni kwa namna gani Kobe Bryant alikua muhimu kwao.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa

je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : CCM yasubiriwa Dodoma kukata jongoo kwa meno

Wiki ijayo ni ya CCM “kukata jongoo kwa meno” ili kuzima makundi ya watu yanayofuatafuata wanasiasa fulani wanaojiita waheshimiwa.

 

11 years ago

Michuzi

Kenny Mwaisabula kuandaa tamasha la mpira wa miguu la wachezaji wa zamani

Kocha Kennedy Mwaisabula kupitia kampuni yake ya Kenny Mwaisabula Enterprises anaandaa tamasha kubwa la wachezaji wa zamani linalotarajiwa kufanyika 14 Oct, 2014 hapa Dar Es Salaam, wachezaji 300 wanatarajiwa kushiriki na baadae kutoa wachezaji 25 bora watakoshiriki mashindano ya wakongwe ya Afrika Mashariki. Picha kulia ni Kenny Mwaisabula akimshukuru Ndg. Phares Magesa (kushoto) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) CCM ambaye ni mdau wa michezo kwa kukubali kuwa mmoja wa wawezeshaji ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wamuuwa mcheza mpira Algeria

Mchezaji mpira kutoka Cameroon katika timu ya Algeria afariki baada ya mashambiki kumrushia mawe

 

5 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la Mpira Italia lataraji kuwapima wachezaji virusi vya corona kabla ligi kurejea mwezi Mei

Italia ni moja ya nchi ambazo zimeathirika zaidi na janga la virusi vya corona, huku wachezaji wa baadhi ya timu wakipata maambukizi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars

Mashabiki wa soka jana walizua tafrani kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam baada ya kujaribu kuwatimua wachezaji wa Taifa Stars waliofika uwanjani hapo kwa mazoezi ya kujiandaa kuwakabili Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan 2016).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani