Kenny Mwaisabula kuandaa tamasha la mpira wa miguu la wachezaji wa zamani
Kocha Kennedy Mwaisabula kupitia kampuni yake ya Kenny Mwaisabula Enterprises anaandaa tamasha kubwa la wachezaji wa zamani linalotarajiwa kufanyika 14 Oct, 2014 hapa Dar Es Salaam, wachezaji 300 wanatarajiwa kushiriki na baadae kutoa wachezaji 25 bora watakoshiriki mashindano ya wakongwe ya Afrika Mashariki. Picha kulia ni Kenny Mwaisabula akimshukuru Ndg. Phares Magesa (kushoto) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) CCM ambaye ni mdau wa michezo kwa kukubali kuwa mmoja wa wawezeshaji ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i6iC-vk7P0k/XlirhPZfSlI/AAAAAAALfyo/0QndpD2pekcyMLlnT7xo_MTpTAfmJ07lgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
ZIFAHAMU SHERIA 17 ZA MPIRA WA MIGUU .
![](https://1.bp.blogspot.com/-i6iC-vk7P0k/XlirhPZfSlI/AAAAAAALfyo/0QndpD2pekcyMLlnT7xo_MTpTAfmJ07lgCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
1. UWANJA
Kwa kawaida uwanja wa mpira Wa miguu huwa na Urefu Wa mita 100 – 120 na Upana Wa mita 50 – 60 . Kwa kawaida Uwanja Wa mpira Wa miguu Una alama za mistari ambazo ni pamoja na
– Mstari mrefu pembeni mwa Uwanja Unaoashiria mwisho Wa Uwanja .
– Mstari mrefu Wa Katikati Unaogawa Uwanja katika pande 2 Zilizolingana .katikati ya Uwanja kuna mduara wenye nusu kipenyo cha mita 9.15.
– Mstari mrefu Upande Wa goli Unaoashiria mwisho Wa Uwanja upande Wa goli .
– Pia kuna nusu duara katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s72-c/IMG-20150701-WA0043.jpg)
DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s640/IMG-20150701-WA0043.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4eI8gsI6n_U/VZUp5F8wukI/AAAAAAAAews/CT_h62_i9dI/s640/IMG-20150701-WA0037.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VYzoayewoxc/VZUp7RfX5dI/AAAAAAAAexc/g-Ofs3x7_nw/s640/IMG-20150701-WA0045.jpg)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s72-c/tff_LOGO16.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s320/tff_LOGO16.jpg)
Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s400/images%2B%25281%2529.jpg)
(i) Kila mkoa utakua na kituo cha kukuza na kuendeleza vipaji vya watoto (Regional Sports Centre). Mapato ya mchezo wa Ngao ya Hisani msimu huu yatatumika kuagiza kontena la vifaa (mipira size 3, 4, bips na cones) ambavyo vitasambazwa katika vituo vyote vya michezo vya mikoa.
(ii) Ubovu wa viwanja – Kamati ya Utendaji...