DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s72-c/IMG-20150701-WA0043.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Adv. Anthon Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mpira wa Miguu kuwania Kombe la DC na kushirikisha timu 24 kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo jana.
Timu za Mpwapwa Academy na Kota FC zikizubiri kukaguliwa na mgeni rasmi. Katika mchezo huo wa ufunguzi Kota FC wqalishinda goli 3-2.
DC akikaribishwa kusalimiana na wachezaji.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Kinachoendelea kwenye mashindano mbalimbali ya mpira wa miguu barani Ulaya
Barani Ulaya, ligi mbalimbali za soka zinaendelea. Nchini Ujerumani, Bundesliga inaendelea, Italia Serie A imepamba moto na huko Uingereza Premier League haikamatiki. Hapa chini ni ratiba za michuano mbalimbali barani Ulaya.
Mamilioni ya wapenzi wa Soka duniani kote wanatazama michuano hiyo kupita Televisheni, wachache kupitia tovuti mbalimbali za kulipia. Vipi kama nikikuonyesha njia rahisi ya kuzitazama kwenye simu yako ya mkononi, bila kulipia chochote yaani BURE?
Kama una simu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i38X4OhExKY/VIlqJaNQMKI/AAAAAAAG2fU/r891XG7tB8E/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA COLLEGE NA SCHOOL ZA UDSM YAPAMBO MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-i38X4OhExKY/VIlqJaNQMKI/AAAAAAAG2fU/r891XG7tB8E/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
* SJMC (School of Journalism & Mass communication) wanaongoza kilele cha group A* COSS (College of Social Science) wanaongoza kilele cha group B* Mechi zingine nne kuendelea leo hadi Jumamosi
Mashindano ya mpira wa miguu kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam...
9 years ago
VijimamboWADHAMINI WA LIGI YA BODABODA KIPUNGUNI "B" MFUKO WA PENSHENI WA PSPF WAFUNGUA RASMI MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU
9 years ago
GPLWADHAMINI WA LIGI YA BODABODA KIPUNGUNI "B" MFUKO WA PENSHENI WA PSPF WAFUNGUA RASMI MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i6iC-vk7P0k/XlirhPZfSlI/AAAAAAALfyo/0QndpD2pekcyMLlnT7xo_MTpTAfmJ07lgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
ZIFAHAMU SHERIA 17 ZA MPIRA WA MIGUU .
![](https://1.bp.blogspot.com/-i6iC-vk7P0k/XlirhPZfSlI/AAAAAAALfyo/0QndpD2pekcyMLlnT7xo_MTpTAfmJ07lgCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
1. UWANJA
Kwa kawaida uwanja wa mpira Wa miguu huwa na Urefu Wa mita 100 – 120 na Upana Wa mita 50 – 60 . Kwa kawaida Uwanja Wa mpira Wa miguu Una alama za mistari ambazo ni pamoja na
– Mstari mrefu pembeni mwa Uwanja Unaoashiria mwisho Wa Uwanja .
– Mstari mrefu Wa Katikati Unaogawa Uwanja katika pande 2 Zilizolingana .katikati ya Uwanja kuna mduara wenye nusu kipenyo cha mita 9.15.
– Mstari mrefu Upande Wa goli Unaoashiria mwisho Wa Uwanja upande Wa goli .
– Pia kuna nusu duara katika...
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA AMUAPISHA MKUU MPYA WA WILAYA YA MPWAPWA MHE. ANTH0NY MAVUNDE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s400/images%2B%25281%2529.jpg)
(i) Kila mkoa utakua na kituo cha kukuza na kuendeleza vipaji vya watoto (Regional Sports Centre). Mapato ya mchezo wa Ngao ya Hisani msimu huu yatatumika kuagiza kontena la vifaa (mipira size 3, 4, bips na cones) ambavyo vitasambazwa katika vituo vyote vya michezo vya mikoa.
(ii) Ubovu wa viwanja – Kamati ya Utendaji...