Kinachoendelea kwenye mashindano mbalimbali ya mpira wa miguu barani Ulaya
Barani Ulaya, ligi mbalimbali za soka zinaendelea. Nchini Ujerumani, Bundesliga inaendelea, Italia Serie A imepamba moto na huko Uingereza Premier League haikamatiki. Hapa chini ni ratiba za michuano mbalimbali barani Ulaya.
Mamilioni ya wapenzi wa Soka duniani kote wanatazama michuano hiyo kupita Televisheni, wachache kupitia tovuti mbalimbali za kulipia. Vipi kama nikikuonyesha njia rahisi ya kuzitazama kwenye simu yako ya mkononi, bila kulipia chochote yaani BURE?
Kama una simu ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s72-c/IMG-20150701-WA0043.jpg)
DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s640/IMG-20150701-WA0043.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4eI8gsI6n_U/VZUp5F8wukI/AAAAAAAAews/CT_h62_i9dI/s640/IMG-20150701-WA0037.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VYzoayewoxc/VZUp7RfX5dI/AAAAAAAAexc/g-Ofs3x7_nw/s640/IMG-20150701-WA0045.jpg)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i38X4OhExKY/VIlqJaNQMKI/AAAAAAAG2fU/r891XG7tB8E/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA COLLEGE NA SCHOOL ZA UDSM YAPAMBO MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-i38X4OhExKY/VIlqJaNQMKI/AAAAAAAG2fU/r891XG7tB8E/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
* SJMC (School of Journalism & Mass communication) wanaongoza kilele cha group A* COSS (College of Social Science) wanaongoza kilele cha group B* Mechi zingine nne kuendelea leo hadi Jumamosi
Mashindano ya mpira wa miguu kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uwnmM8IQ6sE/UysGtjdvvdI/AAAAAAAFVHk/F5RSA9nOmxU/s72-c/images.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF).
![](http://1.bp.blogspot.com/-uwnmM8IQ6sE/UysGtjdvvdI/AAAAAAAFVHk/F5RSA9nOmxU/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Salum Madadi kuwa Mkurugenzi wake mpya wa Ufundi.
Uteuzi huo umefanya na Kamati ya Utendaji katika kikao chake cha dharura kilichofanyika jana (Machi 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi, Madadi alikuwa akikaimu nafasi hiyo tangu Januari mwaka huu baada ya Mkurugenzi wa Ufundi aliyekuwepo kumaliza mkataba wake Desemba 31 mwaka jana.
Madadi mwenye leseni A ya ukocha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4FEsFqwMC4w/VZQAtWHGvvI/AAAAAAAC8Eg/jjJAghIlkqc/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA ( TFF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4FEsFqwMC4w/VZQAtWHGvvI/AAAAAAAC8Eg/jjJAghIlkqc/s640/unnamed.jpg)
CECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015.
Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MKpvJj3iGnQ/VciOgUnLwXI/AAAAAAAHvs4/EfeRTiDw-ec/s72-c/tff2.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
TWIGA STARS YAENDELEA KUJIFUA ZANZIBAR
Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kinaendelea na mazoezi katika uwanja wa Amani na uwanja wa Mafunzo vilivyopo kisiwani Zanzibar. Twiga Stars iko kambini kisiwani Zanzibar kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofanyika nchini Congo- Brazzavile kuanzia Septemba 04 – 19 mwaka huu. Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage ameendelea kukinoa kikosi chake cha wachezaji 25 waliopo kambini kisiwani...
![](http://3.bp.blogspot.com/-MKpvJj3iGnQ/VciOgUnLwXI/AAAAAAAHvs4/EfeRTiDw-ec/s1600/tff2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BCgidLd05n8/Uyw5NcDf47I/AAAAAAAFVVc/mDHU48WuhIQ/s72-c/tff_LOGO113.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA TIKETI ZA ELEKTRONIKI
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB zimeunda kikosi kazi (task force) kwa ajili ya kushughulikia matumizi ya tiketi za elektroniki ambayo yalisimamishwa kutoka na changamoto mbalimbali zilizokuwa zimejitokeza.
TFF na CRDB zimefanya kikao cha pamoja jana (Machi 20 mwaka huu) kuhusu masuala ya tiketi za elektroniki na kukubaliana kuunda kikosi kazi hicho kwa ajili ya uboreshaji matumizi ya mfumo huo.
Kikosi...
![](http://1.bp.blogspot.com/-BCgidLd05n8/Uyw5NcDf47I/AAAAAAAFVVc/mDHU48WuhIQ/s1600/tff_LOGO113.jpg)
TFF na CRDB zimefanya kikao cha pamoja jana (Machi 20 mwaka huu) kuhusu masuala ya tiketi za elektroniki na kukubaliana kuunda kikosi kazi hicho kwa ajili ya uboreshaji matumizi ya mfumo huo.
Kikosi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pPbQyrUE3ZE/U6rWHADIcII/AAAAAAAFs6o/OMtE5PSjUkI/s72-c/45.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pPbQyrUE3ZE/U6rWHADIcII/AAAAAAAFs6o/OMtE5PSjUkI/s1600/45.jpg)
SMALL BOYS, MSHIKAMANO, PACHOTO ZAPIGWA FAINI RCL.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zimezipiga faini ya kati ya sh. 300,000 na sh. 500,000 klabu za Mshikamano FC, Pachoto Shooting Stars, Town Small Boys na Kiluvya United kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo viongozi, wachezaji na washabiki kufanya vurugu kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) iliyomalizika hivi karibuni.
Uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Mashindano ya TFF iliyokutana juzi (Juni 23 mwaka huu)...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania