TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF).
![](http://1.bp.blogspot.com/-uwnmM8IQ6sE/UysGtjdvvdI/AAAAAAAFVHk/F5RSA9nOmxU/s72-c/images.jpg)
MADADI MKURUGENZI MPYA WA UFUNDI TFF.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Salum Madadi kuwa Mkurugenzi wake mpya wa Ufundi.
Uteuzi huo umefanya na Kamati ya Utendaji katika kikao chake cha dharura kilichofanyika jana (Machi 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi, Madadi alikuwa akikaimu nafasi hiyo tangu Januari mwaka huu baada ya Mkurugenzi wa Ufundi aliyekuwepo kumaliza mkataba wake Desemba 31 mwaka jana.
Madadi mwenye leseni A ya ukocha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BCgidLd05n8/Uyw5NcDf47I/AAAAAAAFVVc/mDHU48WuhIQ/s72-c/tff_LOGO113.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BCgidLd05n8/Uyw5NcDf47I/AAAAAAAFVVc/mDHU48WuhIQ/s1600/tff_LOGO113.jpg)
TFF na CRDB zimefanya kikao cha pamoja jana (Machi 20 mwaka huu) kuhusu masuala ya tiketi za elektroniki na kukubaliana kuunda kikosi kazi hicho kwa ajili ya uboreshaji matumizi ya mfumo huo.
Kikosi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pPbQyrUE3ZE/U6rWHADIcII/AAAAAAAFs6o/OMtE5PSjUkI/s72-c/45.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pPbQyrUE3ZE/U6rWHADIcII/AAAAAAAFs6o/OMtE5PSjUkI/s1600/45.jpg)
SMALL BOYS, MSHIKAMANO, PACHOTO ZAPIGWA FAINI RCL.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) zimezipiga faini ya kati ya sh. 300,000 na sh. 500,000 klabu za Mshikamano FC, Pachoto Shooting Stars, Town Small Boys na Kiluvya United kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo viongozi, wachezaji na washabiki kufanya vurugu kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) iliyomalizika hivi karibuni.
Uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Mashindano ya TFF iliyokutana juzi (Juni 23 mwaka huu)...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4FEsFqwMC4w/VZQAtWHGvvI/AAAAAAAC8Eg/jjJAghIlkqc/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA ( TFF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4FEsFqwMC4w/VZQAtWHGvvI/AAAAAAAC8Eg/jjJAghIlkqc/s640/unnamed.jpg)
CECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015.
Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gdQl_F6T1ko/VSziAFMmzVI/AAAAAAAHRDw/D8uX8MOBE6U/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
TAARIFA ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gdQl_F6T1ko/VSziAFMmzVI/AAAAAAAHRDw/D8uX8MOBE6U/s1600/tff_LOGO1.jpg)
Kocha Jackson Mayanja wa Kagera Sugar amepigwa faini ya sh. 500,000 na kufungiwa mechi tatu kwa kutoa lugha ya kashfa kwa maneno na vitendo kwa waamuzi wa mechi yao na Mtibwa Sugar kuwa walipewa rushwa.
Adhabu dhidi ya Kocha Mayanja kwenye mechi hiyo namba 136 iliyochezwa Aprili 1, 2015 kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 40(1) ya Ligi Kuu.
Klabu ya Mtibwa Sugar imepigwa faini ya sh. 500,000 baada...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ixGLWofD8Go/VR0L0Ucmr3I/AAAAAAAHO5M/AO-AVMRr7YY/s72-c/tff2.jpg)
TAARIFA ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF).
![](http://4.bp.blogspot.com/-ixGLWofD8Go/VR0L0Ucmr3I/AAAAAAAHO5M/AO-AVMRr7YY/s1600/tff2.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) ijumaa ya tarehe 10, Aprili mwaka huu, itashuka dimbani Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuwakarisbisha timu ya Taifa ya Wanawake ya Zambia (The She-Polopolo).
Twiga Stars inayonolewa na kocha mkuu Rogasian Kaijage iliingia kambini mwishoni mwa wiki na kikosi cha wachezaji 25 katika hostel za TFF zilizopo Karume, kujiandaa na mchezo huo ambao ni muhimu wa kuwania kufuzu kwa fainali za michezo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MKpvJj3iGnQ/VciOgUnLwXI/AAAAAAAHvs4/EfeRTiDw-ec/s72-c/tff2.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-MKpvJj3iGnQ/VciOgUnLwXI/AAAAAAAHvs4/EfeRTiDw-ec/s1600/tff2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W1_CI6PWjEQ/UzFyZfA1WFI/AAAAAAAFWN8/i0SDP2Q0PPY/s72-c/tff+LOGO.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1_CI6PWjEQ/UzFyZfA1WFI/AAAAAAAFWN8/i0SDP2Q0PPY/s1600/tff+LOGO.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tumepokea amri ya Mahakama Kuu (Kitengo cha Kazi) kukamata sh. milioni 106 za klabu ya Yanga kutokana na mapato ya mlangoni kwenye mechi zake ili kuwalipa waliokuwa wachezaji wake Stephen Malashi na Wisdom Ndlovu.
Tayari tumeanza utekelezaji wa amri hiyo ambapo katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) dhidi ya Rhino Rangers iliyochezwa Machi 22 mwaka huu mjini Tabora tumezuia...