Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shirikisho la Mpira Italia lataraji kuwapima wachezaji virusi vya corona kabla ligi kurejea mwezi Mei

Italia ni moja ya nchi ambazo zimeathirika zaidi na janga la virusi vya corona, huku wachezaji wa baadhi ya timu wakipata maambukizi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shirikisho la kandanda Tanzania lajiandaa kuendelea kwa ligi

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF pamoja na bodi ya ligi hiyo TPLB zinajiandaa kuendelea na ligi ya mchezo huo nchini licha ya kuwepo kwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ligi ya Ujerumani Bundesliga kurejelewa Mei 16

Ligi kuu ya Ujerumani maarufu ,Bundesliga itarejelea mechi zake bila kuwa na mashabiki uwanjani tarehe 16 Mei..

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19

June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: China inaweza kuwapima wakazi wote wa Wuhan kwa siku kumi pekee?

Mji wa Wuhan nchini China ulio chanzo cha mlipuko wa Covid-19 imetaka kuwapima wakazi wa mji huo milioni 11 kwa muda mfupi, lakini hatua hii inaweza kufanikiwa?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mfungwa aliyeachiliwa huru ameshindwa kurejea nyumbani

Arif (ambaye sio jina lake halisi) alipoachiliwa huru kutoka gerezani magharibi mwa India machi 31, alikuwa na hamu sana ya kurejea nyumbani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani

Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani