Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Ligi ya Ujerumani Bundesliga kurejelewa Mei 16

Ligi kuu ya Ujerumani maarufu ,Bundesliga itarejelea mechi zake bila kuwa na mashabiki uwanjani tarehe 16 Mei..

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la Mpira Italia lataraji kuwapima wachezaji virusi vya corona kabla ligi kurejea mwezi Mei

Italia ni moja ya nchi ambazo zimeathirika zaidi na janga la virusi vya corona, huku wachezaji wa baadhi ya timu wakipata maambukizi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Msimamo wa LIGI kuu ya Ujerumani — Bundesliga

Ratiba ya michuano ya soka nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga bado inaendelea. Leo saa 9:30 kutakuwa na mnyukano mkali kati ya Darmstadt 98 inayoshikilia nafasi ya tisa na Mainz 05 inayoshikilia nafasi ya kumi na mbili. Bayern Munich bado wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na point 21.

laliga 1

Kwa hapa nchini unaweza kufuatilia michano hii ukiwa na king’amuzi cha Startimes pekee. Lakini kama wewe si mteja wao usitie shaka, kuna njia mbadala unayoweza kutumia kutazama LIVE michuano hii kupitia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?

Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona

Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

TIMU ZA LIGI KUU ZACHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA


Na Zainab Nyamka-Michuzi TV

TIMU za Ligi Kuu tayari zimesharejea viwanjani kwa ajili ya mazoezi ya pamoja kujiandaa na Ligi Kuu inayotarajiwa kuendelea mapema mwezi Juni mwaka huu baada ya serikali kuruhusu michezo iendelee.

Hata hivyo timu hizo tayari zimechukua tahadhari zinazostahili kupambana na virusi vya Corona kwa kuwapima afya wachezaji wao sambamba na kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.

Kwa upande wa Timu ya Polisi Tanzania, Ofisa Habari wao Frank Lukwaro amesema wamechukua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone

Sehemu ya kwanza ya kipindi cha Afrika Eye inaangazia mlipuko wa corona unavyobadilisha tabia za raia wa Sierra Leone kuhusu jinsi wanavyoshirikiana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani